Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe ndiyo maana nataka nikupe urithi wa yale mashamba yangu, siyo kunipatia hivyo Babu yako 😊

Niwekee maziwa fresh, nataka afya yangu iwe imara kama nilivyokuwa mwaka 47😜
unajua kunifurahisha sana babu🀣🀣🀣🀣sawa nitafanya hivyo babu yangu kipenzi
 
Babu ana pressure wajukuu wana presha yani tafrani tupuπŸ™ŒπŸΎ
Kuwa na imani na Wazee Mjukuu 😊

Tangu mwaka 47, Wazee tumezoea kula aina moja ya chakula, kama ni ugali samaki ni huo huo tu, sio kama vijana leo chips, kesho wali ama burger, keshokutwa pizza n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…