win-one JF-Expert Member Joined May 28, 2024 Posts 3,035 Reaction score 9,197 Mar 21, 2026 #408,281 Grahams said: Eid Mubarak kwako pia Mjukuu, karibu kijijini tunywe togwa leo maana tumekuwa na hamu nayo mwezi mzima π Click to expand... leo sikukuu babu sitaki kutumia vya kienyeji kabisaa nataka nijijaze sumu na vitu vya kisasa π€ππ
Grahams said: Eid Mubarak kwako pia Mjukuu, karibu kijijini tunywe togwa leo maana tumekuwa na hamu nayo mwezi mzima π Click to expand... leo sikukuu babu sitaki kutumia vya kienyeji kabisaa nataka nijijaze sumu na vitu vya kisasa π€ππ
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,219 Reaction score 832,100 Mar 21, 2026 Thread starter #408,282 Lovelovie said: Eid Mubaraak Mahondaw View attachment 3560737 Click to expand... Dah! Hvi vishepu hiviπππ
Lovelovie said: Eid Mubaraak Mahondaw View attachment 3560737 Click to expand... Dah! Hvi vishepu hiviπππ
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,710 Mar 21, 2026 #408,283 win-one said: leo sikukuu babu sitaki kutumia vya kienyeji kabisaa nataka nijijaze sumu na vitu vya kisasa π€ππ Click to expand... ππ hutaki nikusimulie hadithi, njoo ninazo nyingi leo
win-one said: leo sikukuu babu sitaki kutumia vya kienyeji kabisaa nataka nijijaze sumu na vitu vya kisasa π€ππ Click to expand... ππ hutaki nikusimulie hadithi, njoo ninazo nyingi leo
win-one JF-Expert Member Joined May 28, 2024 Posts 3,035 Reaction score 9,197 Mar 21, 2026 #408,284 Grahams said: ππ hutaki nikusimulie hadithi, njoo ninazo nyingi leo Click to expand... basi jioni babu,, maana saivi namsaidia mama kupika maana leo tuna wageniπ€ nikubebee nini babu
Grahams said: ππ hutaki nikusimulie hadithi, njoo ninazo nyingi leo Click to expand... basi jioni babu,, maana saivi namsaidia mama kupika maana leo tuna wageniπ€ nikubebee nini babu
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,710 Mar 21, 2026 #408,285 win-one said: basi jioni babu,, maana saivi namsaidia mama kupika maana leo tuna wageniπ€ nikubebee nini babu Click to expand... Basi nitakusubiri jioni, kama utaweza nijie na juice ya tende niimarishe afya Babu yako π
win-one said: basi jioni babu,, maana saivi namsaidia mama kupika maana leo tuna wageniπ€ nikubebee nini babu Click to expand... Basi nitakusubiri jioni, kama utaweza nijie na juice ya tende niimarishe afya Babu yako π
win-one JF-Expert Member Joined May 28, 2024 Posts 3,035 Reaction score 9,197 Mar 21, 2026 #408,286 Grahams said: Basi nitakusubiri jioni, kama utaweza nijie na juice ya tende niimarishe afya Babu yako π Click to expand... nichanganye na mtindi au maziwa fresh?βΊοΈ
Grahams said: Basi nitakusubiri jioni, kama utaweza nijie na juice ya tende niimarishe afya Babu yako π Click to expand... nichanganye na mtindi au maziwa fresh?βΊοΈ
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,710 Mar 21, 2026 #408,287 win-one said: nichanganye na mtindi au maziwa fresh?βΊοΈ Click to expand... Wewe ndiyo maana nataka nikupe urithi wa yale mashamba yangu, siyo kunipatia hivyo Babu yako π Niwekee maziwa fresh, nataka afya yangu iwe imara kama nilivyokuwa mwaka 47π
win-one said: nichanganye na mtindi au maziwa fresh?βΊοΈ Click to expand... Wewe ndiyo maana nataka nikupe urithi wa yale mashamba yangu, siyo kunipatia hivyo Babu yako π Niwekee maziwa fresh, nataka afya yangu iwe imara kama nilivyokuwa mwaka 47π
win-one JF-Expert Member Joined May 28, 2024 Posts 3,035 Reaction score 9,197 Mar 21, 2026 #408,288 Grahams said: Wewe ndiyo maana nataka nikupe urithi wa yale mashamba yangu, siyo kunipatia hivyo Babu yako π Niwekee maziwa fresh, nataka afya yangu iwe imara kama nilivyokuwa mwaka 47π Click to expand... unajua kunifurahisha sana babuπ€£π€£π€£π€£sawa nitafanya hivyo babu yangu kipenzi
Grahams said: Wewe ndiyo maana nataka nikupe urithi wa yale mashamba yangu, siyo kunipatia hivyo Babu yako π Niwekee maziwa fresh, nataka afya yangu iwe imara kama nilivyokuwa mwaka 47π Click to expand... unajua kunifurahisha sana babuπ€£π€£π€£π€£sawa nitafanya hivyo babu yangu kipenzi
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,710 Mar 21, 2026 #408,289 win-one said: unajua kunifurahisha sana babuπ€£π€£π€£π€£sawa nitafanya hivyo babu yangu kipenzi Click to expand... ππ ungependa nikuandalie nini ukija? bahati nzuri Bibi yako amekwenda kijiji jirani, utanikuta mwenyewe nikikubanikia yule kuku niliyekwambia
win-one said: unajua kunifurahisha sana babuπ€£π€£π€£π€£sawa nitafanya hivyo babu yangu kipenzi Click to expand... ππ ungependa nikuandalie nini ukija? bahati nzuri Bibi yako amekwenda kijiji jirani, utanikuta mwenyewe nikikubanikia yule kuku niliyekwambia
Seran JF-Expert Member Joined Feb 7, 2025 Posts 12,576 Reaction score 36,955 Mar 21, 2026 #408,290 Grahams said: View attachment 3561035 π₯ Click to expand... Nakuona mzee unajiandaa kuingia mzigoniπ
Grahams said: View attachment 3561035 π₯ Click to expand... Nakuona mzee unajiandaa kuingia mzigoniπ
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,710 Mar 21, 2026 #408,291 Seran said: Nakuona mzee unajiandaa kuingia mzigoniπ Click to expand... Daktari amenambia eti natakiwa kula hizo ili kujilinda na baridi, si mnajua Babu yenu nimezeeka π
Seran said: Nakuona mzee unajiandaa kuingia mzigoniπ Click to expand... Daktari amenambia eti natakiwa kula hizo ili kujilinda na baridi, si mnajua Babu yenu nimezeeka π
Seran JF-Expert Member Joined Feb 7, 2025 Posts 12,576 Reaction score 36,955 Mar 21, 2026 #408,292 Grahams said: Daktari amenambia eti natakiwa kula hizo ili kujilinda na baridi, si mnajua Babu yenu nimezeeka π Click to expand... Babu yetu soon unajiokotea vijukuu kama kawaidaπ€
Grahams said: Daktari amenambia eti natakiwa kula hizo ili kujilinda na baridi, si mnajua Babu yenu nimezeeka π Click to expand... Babu yetu soon unajiokotea vijukuu kama kawaidaπ€
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,710 Mar 21, 2026 #408,293 Seran said: Babu yetu soon unajiokotea vijukuu kama kawaidaπ€ Click to expand... Uwezo huo ninao basi, kuweni na imani na Wazee π
Seran said: Babu yetu soon unajiokotea vijukuu kama kawaidaπ€ Click to expand... Uwezo huo ninao basi, kuweni na imani na Wazee π
Seran JF-Expert Member Joined Feb 7, 2025 Posts 12,576 Reaction score 36,955 Mar 21, 2026 #408,294 Grahams said: Uwezo huo ninao basi, kuweni na imani na Wazee π Click to expand... Wazee wa hovyo!!π€£
Grahams said: Uwezo huo ninao basi, kuweni na imani na Wazee π Click to expand... Wazee wa hovyo!!π€£
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,710 Mar 21, 2026 #408,295 Seran said: Wazee wa hovyo!!π€£ Click to expand... Hivi si unajua Babu yenu ni presha mjukuu π Alafu hata sijala nyingi sana, ni nusu kilo tu π
Seran said: Wazee wa hovyo!!π€£ Click to expand... Hivi si unajua Babu yenu ni presha mjukuu π Alafu hata sijala nyingi sana, ni nusu kilo tu π
Seran JF-Expert Member Joined Feb 7, 2025 Posts 12,576 Reaction score 36,955 Mar 21, 2026 #408,296 Grahams said: Hivi si unajua Babu yenu ni presha mjukuu π Alafu hata sijala nyingi sana, ni nusu kilo tu π Click to expand... Babu ana pressure wajukuu wana presha yani tafrani tupuππΎ
Grahams said: Hivi si unajua Babu yenu ni presha mjukuu π Alafu hata sijala nyingi sana, ni nusu kilo tu π Click to expand... Babu ana pressure wajukuu wana presha yani tafrani tupuππΎ
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 47,922 Reaction score 132,555 Mar 21, 2026 #408,297 Seran said: Wazee wa hovyo!!π€£ Click to expand... Babu ana jitafunia tu vikuku vichanga vichanga , tatizo meno
Seran said: Wazee wa hovyo!!π€£ Click to expand... Babu ana jitafunia tu vikuku vichanga vichanga , tatizo meno
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,710 Mar 21, 2026 #408,298 Seran said: Babu ana pressure wajukuu wana presha yani tafrani tupuππΎ Click to expand... Kuwa na imani na Wazee Mjukuu π Tangu mwaka 47, Wazee tumezoea kula aina moja ya chakula, kama ni ugali samaki ni huo huo tu, sio kama vijana leo chips, kesho wali ama burger, keshokutwa pizza n.k
Seran said: Babu ana pressure wajukuu wana presha yani tafrani tupuππΎ Click to expand... Kuwa na imani na Wazee Mjukuu π Tangu mwaka 47, Wazee tumezoea kula aina moja ya chakula, kama ni ugali samaki ni huo huo tu, sio kama vijana leo chips, kesho wali ama burger, keshokutwa pizza n.k
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,710 Mar 21, 2026 #408,299 min -me said: Babu ana jitafunia tu vikuku vichanga vichanga , tatizo meno Click to expand... Kuwa na imani na Wazee Mkuu π
min -me said: Babu ana jitafunia tu vikuku vichanga vichanga , tatizo meno Click to expand... Kuwa na imani na Wazee Mkuu π
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 47,922 Reaction score 132,555 Mar 21, 2026 #408,300 Grahams said: Kuwa na imani na Wazee Mkuu π Click to expand... π