Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 16,921
- 49,289
Nipo dada fanya kama unanikuna hivi🫢kabla sijapata tunyama nilikua kimodoo kuna mda najimiss😆😆 upo niselfike Tbt😎
Nipo dada fanya kama unanikuna hivi🫢kabla sijapata tunyama nilikua kimodoo kuna mda najimiss😆😆 upo niselfike Tbt😎
Haka kana miguu mirefuWatu tuko mwaka wa mbele sana kwenye scanning😂View attachment 3572074
Aisee nimetafuta picha hamna kuna video video yenyewe itazua taharuki😁😁🏃♂️🏃♂️Hebu weka aisee sikubali kuteseka na uzito pekeangu!
Ndugu mimi sihusiki kwenye hiyo mada sitaki ugomvi na mtu! Usinitag tena kwenye hiyo issue!alisema zina makende na zinavaa pini kutetea nyeti zao
Nani huyu mkuu?Nilete nyingine?View attachment 3572080
We weka tu hakuna cha taharuki leo😅Aisee nimetafuta picha hamna kuna video video yenyewe itazua taharuki😁😁🏃♂️🏃♂️
Yooo mie huku siwezi kurudi hata nikitaka 😂mwambie dadi ake ShesRise_1 hatutaki ushahidi humu😂😂 hapa ni twenty twenty two
Ukae chonjo after second one nafutaWe weka tu hakuna cha taharuki leo😅
Natamani huu mwili ila nilikotoka ndio vituko zaidi😫mwambie dadi ake ShesRise_1 hatutaki ushahidi humu😂😂 hapa ni twenty twenty two
mi naweza😂😂 ila sitaki kujaribuYooo mie huku siwezi kurudi hata nikitaka 😂
Sekunde tenaUkae chonjo after second one nafuta
aah mi hapana kwa kweli nilikua kimbau mbau mnooo sitakii tena mahii😅😅Natamani huu mwili ila nilikotoka ndio vituko zaidi😫
Mimi nilikuwa kibonge😀aah mi hapana kwa kweli nilikua kimbau mbau mnooo sitakii tena mahii😅😅
kama una asili ya mwili itakua ngumu, ukijisahau kiduchuu unarudi mwanzo
Leo Selfika ya moto sana💥💥💥Mimi nilikuwa kibonge😀View attachment 3572086
Fanya haraka basi tukamshaauri haszu kule alibakwaUkae chonjo after second one nafuta