Duhh sio kwamba ni tatizo hilo? Sleeping pills si zinakufanya uwe mraibu ukizizoea, jitahidi kula mabilinganya! Zamani kwa sabu ya stress, nilikuwa mpk nile bia moja ndio napata usingizi..
Duhh sio kwamba ni tatizo hilo? Sleeping pills si zinakufanya uwe mraibu ukizizoea, jitahidi kula mabilinganya! Zamani kwa sabu ya stress, nilikuwa mpk nile bia moja ndio napata usingizi..