ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,164
- 40,525
Kazi kweli kweliNan ana mda na sura wewe gari ni injini
Kazi kweli kweliNan ana mda na sura wewe gari ni injini
Mmejaa sana humu, wakati sie wadada tulikua na kakikao chetu 😂Mnaenda wapi sasa? 😁
Nakuona unapita kimyakimy
Sasa na sisi si tunaselfika 😅Mmejaa sana humu, wakati sie wadada tulikua na kakikao chetu 😂
Mbona hatujawaona, tupieni hivyo viselfie vyenu sasaSasa na sisi si tunaselfika 😅
🤣🤣🤣🙌unazinguaMama wachungaji wa mwendo kasi
Tunasubiri na vijana mjiachie bnMnaenda wapi sasa? 😁
We binti ujue huu uzi naupitaga kama naaga maiti sijui ni pepo gani leo 😆 nakemea kwa jina la YesuPita shemeji..
We ni kuwasha moto tu mwishowe tuungue!
Kapikeni mi mtanikuta kwenye kupopoa hawa viumbe wanataka kutuzoea😂Yeah
Ngoja tupike
Tutakuja na pt 2
Yani nimeshangaa ghafl tu wametia timu wametelekeza wanaume wenzao kule! Vikao vyao hatuwaingilii ila vyetu sasa huwakosi! Anzisha ata nyuza za ovulation wapo😂🙌🏾 Kama huyu foff sijui ana notf gani kila muda kajaa tele huku🏃🏽♀️🏃🏽♀️Mmejaa sana humu, wakati sie wadada tulikua na kakikao chetu 😂
Nikuanzishie sala ya toba 🤣Kwa hali hii naona nikmpokea yesu kabisa 🤔
Kwahiyo akikujua? Or else kakuoa! Kwani unafanya mapenzi nje au😂We mi sirudi tena isije kua kuna mtu ananijua humu akiangalia vizuri picha atahisi huyu si fulani 🙌😆 japo sio sura kuna watu wanakalili noma
HallelujahNikuanzishie sala ya toba 🤣
Niombe na kaka yangu Mshana Jr akuwekee mikono kichwani, uokolewe dhambini 🤣
Naunga mkono hoja mtani😀Hallelujah 💪🏿😂 hakuna mkate mgumu😂
Pole sana unakosa vingi! Au basi😂We binti ujue huu uzi naupitaga kama naaga maiti sijui ni pepo gani leo 😆 nakemea kwa jina la Yesu
Nachanganyikiwa mjukuu wanguKwahiyo akikujua? Or else kakuoa! Kwani unafanya mapenzi nje au😂
Mpaka sasa mama wachungaji 3 , wasio okoka 0🤣🤣🤣🙌unazingua