Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,853
- 27,413
Usinenepe mwaya, wote huku upande wa pili tunapambana kupungua 🤣Hahaa ngoja na mshangazi mie ninenepe ss
Asante mwaya
Usinenepe mwaya, wote huku upande wa pili tunapambana kupungua 🤣Hahaa ngoja na mshangazi mie ninenepe ss
Asante mwaya
Hahaaa nasekaa tunachez ana engo bana hakuna lolote! Niombe nyingine kama utaiona😂Hapana, mle barembo sana 😂 lekaga nibalole tu 🤣
lete nyingine kabla wambea hawajajaa humu 😂Hahaaa nasekaa tunachez ana engo bana hakuna lolote! Niombe nyingine kama utaiona😂
Kiko wapi hiko kitambi
Jmn hahaNisikajue ka Mama mchungaji tena😃
Wapo sana!! Nishakwambia comments 16 views 1m😂🙌🏾lete nyingine kabla wambea hawajajaa humu 😂
Wewe kwenye picha umezingatia mashartiView attachment 3555354
Seran hizo nyama usembe usiseme sichelewi kulia
Unione kutokea moyoni tu ndugu yangu 🤣 🤣Na wewe tukuone 😉
BBadokidogo naokoka , hawa mama wachungaji sio poa😋Unione kutokea moyoni tu ndugu yangu 🤣 🤣
Kitambi kipo kwa mbele nyama uzembe hizo zinanitesa nikivaa nguo ya kubana kama hivyoKiko wapi hiko kitambi
Haahaa
Hizo ndogo njoo uone zangu huku mgongo nyumba😂View attachment 3555354
Seran hizo nyama usembe usiseme sichelewi kulia
Unajua kweliView attachment 3555354
Seran hizo nyama usembe usiseme sichelewi kulia
Mkuu naficha hii sura ya baba msije kuogopaWewe kwenye picha umezingatia masharti
Pungua kidogo bwanaKitambi kipo kwa mbele nyama uzembe hizo zinanitesa nikivaa nguo ya kubana kama hivyo
Ukimpokea yesu tu, mimi ndiyo yule malaika wa mlango wa mbinguni nakuja kukupokea 😂 🤣BBadokidogo naokoka , hawa mama wachungaji sio poa😋
Asante na hapo nimepungua way back ni kasheshePungua kidogo bwana
Uko vzr
Haaahqa jmnBBadokidogo naokoka , hawa mama wachungaji sio poa😋
Hata mimi nimeona, nitarudi baadaye nikuonyeshe kitu 😂Wapo sana!! Nishakwambia comments 16 views 1m😂🙌🏾