Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 10,768
- 32,170
Hachezi mbali🤔nahisi anazo notfc mpaka za nyuzi mpya🤣🤣🤣
Hachezi mbali🤔nahisi anazo notfc mpaka za nyuzi mpya🤣🤣🤣
ukipata michango mingi naomba unigawie ya kufuturia jioni 🤗Nile ya wapi dada nasubiri michango ya jf😅
weeee hapa nitakua napita usiku kwa usiku mkiwa mmelala sitaki kesi 🤸♀️😁mi siamini kama mtu anaweza kupofuka em tuma tena tuone kama kweli
Usijali ngoja babu aje😂 shedesti kopakopa!ukipata michango mingi naomba unigawie ya kufuturia jioni 🤗
haya lete vitu sasaNimeziona mrembo 🤗
Umeanza uoga lini? Nimekuuliza una mbavu?😬weeee hapa nitakua napita usiku kwa usiku mkiwa mmelala sitaki kesi 🤸♀️😁
nitakutaftia wakili usijali we pita tu 😁weeee hapa nitakua napita usiku kwa usiku mkiwa mmelala sitaki kesi 🤸♀️😁
Wewe gen z kabisa unajizeesha. Unanata kabisa wewe.yani mshamba na dosho12 kwanini mpige chabo kwenye charting za mama zenu wadodo🤣🤣🤣 mkipofuka je?
au tum-amshe? si unajua mababu kwa kusinzia wapo vizuriUsijali ngoja babu aje😂 shedesti kopakopa!
Huu uzi una totoz mkuu.Na huyu mshamba_hachekwi sijui ana notfc. za selfika🤭
Atapitiliza kwa presha tumsubiri aamke mwenyewe🤗au tum-amshe? si unajua mababu kwa kusinzia wapo vizuri
mbavu zipo za kutoshaa kuhusu uogaa hapana sinaUmeanza uoga lini? Nimekuuliza una mbavu?😬
Na hujaopoa bado🤭Huu uzi una totoz mkuu.
kheeeee🤦♀️my lordWewe gen z kabisa unajizeesha. Unanata kabisa wewe.
Unaweza kukimbia na mawe?mbavu zipo za kutoshaa kuhusu uogaa hapana sina
hii naijua😁😁😁nitakutaftia wakili usijali we pita tu 😁
hapa ndo penyewe mamiloooUnaweza kukimbia na mawe?
oukyyyy ngoj tusubiriAtapitiliza kwa presha tumsubiri aamke mwenyewe🤗
mkuu mimi sio muopoaji bali ni mtazamajiNa hujaopoa bado🤭
💃🏽💃🏽oukyyyy ngoj tusubiri