Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

c488e2ba-89cf-48d5-b9ee-a9e7556e2ab9.jpeg
 
Iyo iyo ya kuelekea kyela.

U can imagine miaka 2009_2011. Ilikuaje.( Afu Kule kulinikomaza sana ndio mana siku hizi chaka lolote na survive.)

Hahaha fix Tena!!
Hapo sijakuelezea nilivyopokea kichapo kikali nusu ya kifo Toka kwa wananchi wenye hasira Kali.( Siku ntaleta history zangu jf story sema sio mwandoshi mzuri)
Wale watu wa kule na zile sura wangekukamata ungeita maji mma aisee..!! 😹😹😹

Hebu kabla hujaileta nisimulie kidogo WhatsApp nicheke 🤣
 
Wale watu wa kule na zile sura wangekukamata ungeita maji mma aisee..!! 😹😹😹

Hebu kabla hujaileta nisimulie kidogo WhatsApp nicheke 🤣
Kipondi icho ishu za kuchuna ngozi mbeya zilikua juu.

Kipande kitachokuvutia wewe ni kinacho husu ubuyu wa jf.
 
Unaacha kujali afya yako na misaada iliyositishwa huko WHO ndo kwanza unataka kudimbua yutiayi sugu na VVU zilipolala..!! 😹😹😹

Tupo hapa tunakusubiri ukiwaita JF doctors wakusaidie dawa na wapambe hatukosi wa kukuzidishia stress..!! 🤣😹😹
😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom