Mimi ni online 24hrs mkuuMuongo wewe ulikuwa online mkuu
Wale watu wa kule na zile sura wangekukamata ungeita maji mma aisee..!! 😹😹😹Iyo iyo ya kuelekea kyela.
U can imagine miaka 2009_2011. Ilikuaje.( Afu Kule kulinikomaza sana ndio mana siku hizi chaka lolote na survive.)
Hahaha fix Tena!!
Hapo sijakuelezea nilivyopokea kichapo kikali nusu ya kifo Toka kwa wananchi wenye hasira Kali.( Siku ntaleta history zangu jf story sema sio mwandoshi mzuri)
Kipondi icho ishu za kuchuna ngozi mbeya zilikua juu.Wale watu wa kule na zile sura wangekukamata ungeita maji mma aisee..!! 😹😹😹
Hebu kabla hujaileta nisimulie kidogo WhatsApp nicheke 🤣
☺️☺️Hahahahah kaone
Upo Bia ya ngapi sahii?☺️☺️
No leo ni mzima wa afya kabisa🤣Upo Bia ya ngapi sahii?
😁😁 basi vizuriNo leo ni mzima wa afya kabisa🤣
Kesho uje tulewe wote😉😁😁 basi vizuri
Nitazimia nahisi 😁😁Kesho uje tulewe wote😉
Nitakupepea rasii ,ukiwa na mimi utakua salama tu🤗Nitazimia nahisi 😁😁
Utanishtua basi 😁Nitakupepea rasii ,ukiwa na mimi utakua salama tu🤗
Utaniambia nikushtue sasa😊Utanishtua basi 😁
Si kama kawaida RasUtaniambia nikushtue sasa😊
itabidi tubadili mfumo🤔Si kama kawaida Ras
Upi tena Ras?itabidi tubadili mfumo🤔
Mhmm rasiiUpi tena Ras?
Ila cantry, mbona kikao cha dharura.Kiitishwe kikao cha dharula kujadili coca pesa katoa wapi haraka haraka hivi wakati alikua omba omba humu
😂😂😂😂😂😂Unaacha kujali afya yako na misaada iliyositishwa huko WHO ndo kwanza unataka kudimbua yutiayi sugu na VVU zilipolala..!! 😹😹😹
Tupo hapa tunakusubiri ukiwaita JF doctors wakusaidie dawa na wapambe hatukosi wa kukuzidishia stress..!! 🤣😹😹