Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna shule mmoja Iko mbeya inaitwa mwakaleli ipo Kijiji Cha kandete. Shule ya kibabe sana wana tukuyu na mbeya wanaijua. Nilikua nyapara pale.( Nilifukuzwa shule pale nikarudi kupiga pepa.

Nilivofika ud!! Pale level square ndio palikua nyumbani kwangu sumbai anajua.

Historia yangu ya utukutu ni ndefu mno. Hapa sijazungumzia olevel miaka 4 shule tatu tofauti nimesoma.

Acha chino nitulie hahaha
Kandete karibu na Kyela?
Aiseee uliwezaje kuishi kule?
Nilienda kwenye msiba juzi kati, kuna mwenzetu alifiwa na mdogo wake tukasafirisha kwao kule…!!

Ila chino una fix nyingi banaa 😹😹
 
Hii na ihifadhiii Mimi mwaka huu nataka kuchakata 10pc ingekua vyema ukatupa mbinu.

Mpaka Sasa nipo kwenye 1pc NIMEBAKIZA 9pc
Unaacha kujali afya yako na misaada iliyositishwa huko WHO ndo kwanza unataka kudimbua yutiayi sugu na VVU zilipolala..!! 😹😹😹

Tupo hapa tunakusubiri ukiwaita JF doctors wakusaidie dawa na wapambe hatukosi wa kukuzidishia stress..!! 🤣😹😹
 
Tunaanza upyaaaa
Lamomy
1769566704951.jpg
 

Attachments

  • 1769597595866.jpg
    1769597595866.jpg
    168 KB · Views: 8
Kandete karibu na Kyela?
Aiseee uliwezaje kuishi kule?
Nilienda kwenye msiba juzi kati, kuna mwenzetu alifiwa na mdogo wake tukasafirisha kwao kule…!!

Ila chino una fix nyingi banaa 😹😹
Iyo iyo ya kuelekea kyela.

U can imagine miaka 2009_2011. Ilikuaje.( Afu Kule kulinikomaza sana ndio mana siku hizi chaka lolote na survive.)

Hahaha fix Tena!!
Hapo sijakuelezea nilivyopokea kichapo kikali nusu ya kifo Toka kwa wananchi wenye hasira Kali.( Siku ntaleta history zangu jf story sema sio mwandoshi mzuri)
 
Back
Top Bottom