Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

a856db88-152d-4e95-9f52-4ed68328413c.jpeg
 
Nilivyopona kwenye Ile mwendokasi iliyochezea mawe pale kibo!

Ilibidi nipige hamza kanuni faster kwenda kumgurd dogo!!
Ulipiga hamza kanuni wapi na zile risasi? 😹😹😹

Chino ulivyo muoga wewe hata kupigana ushawahi kweli??
 
Ulipiga hamza kanuni wapi na zile risasi? 😹😹😹

Chino ulivyo muoga wewe hata kupigana ushawahi kweli??
Kuna shule mmoja Iko mbeya inaitwa mwakaleli ipo Kijiji Cha kandete. Shule ya kibabe sana wana tukuyu na mbeya wanaijua. Nilikua nyapara pale.( Nilifukuzwa shule pale nikarudi kupiga pepa.

Nilivofika ud!! Pale level square ndio palikua nyumbani kwangu sumbai anajua.

Historia yangu ya utukutu ni ndefu mno. Hapa sijazungumzia olevel miaka 4 shule tatu tofauti nimesoma.

Acha chino nitulie hahaha
 
Unaishia kuwatania watoto wazuri, sema kuna codes ningekupa tatizo sasa hivi nimeacha ugomvi..!!

Nikisema tu watajua nimetoa siri zao.
Ila kuna vitu vidogo ukikaza unajipigia kwa maraha zako peke zako 😹😹😹

🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️ kwaheri sichelewi kuharibu..!!
Hii na ihifadhiii Mimi mwaka huu nataka kuchakata 10pc ingekua vyema ukatupa mbinu.

Mpaka Sasa nipo kwenye 1pc NIMEBAKIZA 9pc
 
Back
Top Bottom