Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 11,158
- 33,627
Babe kashasema anakipenda kwaio wengine watajua huko😂Wacha vitumbo vije 😀
Babe kashasema anakipenda kwaio wengine watajua huko😂Wacha vitumbo vije 😀
Ugali kwanza
Unawatetea wenye videvu ka embeNdevu huwezi control ila kitambi unaweza control
Apana siwatetei, ndevu zinajiotea tu ila vitambi wengi wanajiendekeza tuUnawatetea wenye videvu ka embe
Kwaio watu wasizae ata watoto ili wasiwe na vitambi? Nyie haohao mnaanza kuwatukana wanaleta uslay queen!Apana siwatetei, ndevu zinajiotea tu ila vitambi wengi wanajiendekeza tu
Unaweza kuzaa na usiwe na kitambi, Hamna uhusiano wa kitambi na kuzaa, ingekua inasababishwa na uzazi wanaume wasingekua na vitambi.Kwaio watu wasizae ata watoto ili wasiwe na vitambi? Nyie haohao mnaanza kuwatukana wanaleta uslay queen!
We ni muha?Unaweza kuzaa na usiwe na kitambi, Hamna uhusiano wa kitambi na kuzaa, ingekua inasababishwa na uzazi wanaume wasingekua na vitambi.
Mi msukumaWe ni muha?
Ukishuka hapo watu wanajiuliza huyu anaenda wapi kule hata makazi hayaonekani wakiangalia mbele wanaona Tembo tu 🤣🤣🤣🤣 hicho kibao ndio kinawapa tumaini.
Sio uongo ukishuka una ulizwa kuna ka mwendo mpaka kufika na jua lime kolea leo wakati wa jua tu una pachukiaUkishuka hapo watu wanajiuliza huyu anaenda wapi kule hata makazi hayaonekani wakiangalia mbele wanaona Tembo tu 🤣🤣🤣🤣 hicho kibao ndio kinawapa tumaini.
Kula maisha 🤣🤣 Lwanda amepatakatishaSio uongo ukishuka una ulizwa kuna ka mwendo mpaka kufika na jua lime kolea leo wakati wa jua tu una pachukia
Maji ya kutosha akiondoka watu watatafutanaKula maisha 🤣🤣 Lwanda amepatakatisha
Nimerudi ku support m4c tarehe 29 na kukulinda!!Chino usharudi town?
Chibaba wangu 😍Nimerudi ku support m4c tarehe 29 na kukulinda!!
😂😂😂😂😂😃😃😃 Ngoja nipate tutorial kwanza namna ya kufutaView attachment 3491140
😂😂😂😂😂Shem kama shem 😂