Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Uongoooo!!! 😂😂😂😂
Mecheza masaa nne tu leo😃😃
Screenshot_20251018-160556_1.jpg
 
Hapo kaka fanya acrobatic clearance tuu🤣🤣
Hiyo nitauponza maana anaweza win tena mpira akapiga counter, hapa cha kufanya ni kuweka 2 anchorman halafu mmoja nampa deep line mwengine defensive 😂

Kwa ufupi hatakiwi kufika kwenye box langu 😂😂

Baada ya hapo nianze build up kwa LBC 😂😂😂
 
Back
Top Bottom