binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,119
- 34,435
Wenyewe wanasema mkubwa kobe tu! Wengine wote “baby” 😂Wakubwa wanafaidi
Wenyewe wanasema mkubwa kobe tu! Wengine wote “baby” 😂Wakubwa wanafaidi
Hata hivyo umependeza.Nimeona ninyoe Tu moja Kwa moja,.
Maana hiki kipilipili hakina shukrani ntapata pressure bure😂
Thanks ☺️Hata hivyo umependeza.
Uko binti mrembo sana tena mno aisee. Na kwa kukusoma soma hapa na pale inaonekana uko mcheshi, very humble na down to earth person. Kwa nini uliamua kujiita Binti Kiziwi? Is it literal or just symbolic? I think you are the most beautiful lady on this platform; hands down! 🙏I’m glad that happened!
Whenever you gat time come to selfika ….😉
Nyie endeleeni kuchat bila kula,. Nlikuwa nakula Keki Kwanza nikisubiri chakulaView attachment 3476774
Kijana upoNaunga mkono hoja
We Safi,. Uko makini😍View attachment 3476775
Mimi ndio namalizia
Kikombe cha maziwa kiko wapi?View attachment 3476775
Mimi ndio namalizia
Nipo tajiriKijana upo
😂Wenyewe wanasema mkubwa kobe tu! Wengine wote “baby” 😂
Hii platform ina wanawake na mabinti warembo, Si wote wako comfortable kutumia huu uzi, baadhi bado wanautumia na baadhi wameshaacha kuutumia. Aliyenielekeza kwa mara ya kwanza kuhusu JF, ni dada mmoja mwalimu, mpare mrembo haswa.Uko binti mrembo sana tena mno aisee. Na kwa kukusoma soma hapa na pale inaonekana uko mcheshi, very humble na down to earth person. Kwa nini uliamua kujiita Binti Kiziwi? Is it literal or just symbolic? I think you are the most beautiful lady on this platform; hands down! 🙏
Hauongezi?🙂View attachment 3476775
Mimi ndio namalizia
Nimeshiba sanaa! Mchawi mtindi ila umeishaHauongezi?🙂
Upo vizuri 😊 😁 😂Haya mshamba_hachekwi Dr am 4 real PhD hii hapa hamnidai chamsingi msidownload🧐
Haaahaa 😂 wewe. Ni mtu mbadiiiiMimi ndio namalizia
Nimefanyaje😂Haaahaa 😂 wewe. Ni mtu mbadiiii
Dr wewe na rangi za mtume sasa 😹
Jirani cake 🥹Mie kazi yangu kuwakumbusha Tu kula..
View attachment 3476754
Njoo uchukue jirani☺️Jirani cake 🥹