Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,227
- 86,852
Yani hapo bora tunyimwe chakula sio ubuyu 😹😹😹Kamati ya wambea kazini hapo mrs none anawaza jinsi ya kuja kutoa mabomu achafue hali ya hewa kasura tuu kanaonyesha hajali. Tena na wewe Lamo upo makini kufwatilia mafile 🤣🤣🤣🤣 . Coca ndio mfungua code mwenyewe tutanenepea nini na muda wote tunawaza umbea tuu