Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimeingia insta nimekuta anamchamba Gigy 😹😹😹
Wanaume wanasema arudishe pumb* zao 🀣
Hua nasikitika sana wanawake kujifanya hawapendi ushoga jalafu mnamsifu anko t sijui hua mnanini aisee inasikitisha sana


Fullstop, kwishaaaa
 
Hua nasikitika sana wanawake kujifanya hawapendi ushoga jalafu mnamsifu anko t sijui hua mnanini aisee inasikitisha sana


Fullstop, kwishaaaa
Wapi nimesifia ushoga?
Anko t ni shoga?
Wewe umejuaje km shoga?
Mliwahi kufanya ushoga pamoja ndipo ukamtambua?
 
Weka picha maneno mengi ya nini?
Halafu kaka modo acha kutumia β€œatiii” β€œtatoa” hii kwa mwanaume haina afya..!!
 
Wapi nimesifia ushoga?
Anko t ni shoga?
Wewe umejuaje km shoga?
Mliwahi kufanya ushoga pamoja ndipo ukamtambua?
Ule muonekano wake, mwanaume kuvaa Dera ume ridhia. Ume ridhia mwanaume kukatika kupaka lip stick cjui lip bam? Kuna kijana juzi hapa kujitambulisha ye ni modo tukampopoa hizo kazi za mashoga, we Leo unamsema anko t Tena bila hofu ili hali wanaume wote tuna mashaka NAE, nikisikia kesho unausema ushoga vibaya takukunbusha mrembo


Fullstop,kwishaaaaa
 
Anko t namsema kivipi?
Unajua inawezekana una hoja Ila kwenye uwasilishaji ndipo unaponichanganya..!!

Mwanzo umesema namsifia ushoga wake.
Sasa hivi unasema anakatika na wanaume wote mna mashaka naye..!!

Swali langu; Wapi nimesifia ushoga wa anko t?
 
Mbombo ngafu πŸ˜₯😹😹
 

Attachments

  • IMG_5769.jpeg
    194.2 KB · Views: 9
Hahaaaa usha sahau mara hii tu umenambia nani kanambia kuwa anko t ni shoga, na uhakika Gani saivi Tena umeruka ok tuyaache



Fullstop, kwishaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…