Selfika na JF: Snap it. Show it

Babu ila mlimani city unapapenda 😹
Ndo unapokutana na kina bibi..!!
Daktari amenishauri niwe nahudhuria hapa kwaajili ya ustawi wa macho yangu

Si unajua Babu yenu macho hayaoni vizuri πŸ€—
 
Hako kasura ukiwa nako pembeni kwa masaa 12 tu unapata nuru sio unakua na pisi ina sura ngumu kama mimi tena hiyo hapana.
Lugha ya mwanamke ni pambo ndio hiyo sawa.. Ukifika hata home na uchovu wa majukuz kasura hako kanakuondolea uchovu wote hasa mtoto ukute kafundwa unyagoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…