min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,323
- 127,378
Subiri nileweWazee wezangu wa chama chetu cha wanywa bia
Dr am 4 real PhD
Monetary doctor
Ushimen
Vishu Mtata
MamaSamia2025
Nikilewa mniache
MastaKiraka
Evelyn Salt
Mje tuselfike na vinywaji vyetu mkononi🍺
Nakuelewa broSubiri nilewe
Starehe gani tena shindii🙆♂️🙆♂️Shindiii unajua nakupenda sana rafiki yangu , now nimenasa kwenye starehe za kijinga JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala off🥲
Shindii Pombe sio chai😅Huh!
Mapaja ya tizi hapana mkuu🤣
Ana kasura kazuri...
Mkuu hayo mambo inabidi ukomae sana na pesa bwashee 😅
😁 Hakika, hata kukatazama kasura unafurahiAna kasura kazuri...
😅😅😅 Unaweza pata zari mtoto akakuelewa, sio kila jambo helaMkuu hayo mambo inabidi ukomae sana na pesa bwashee 😅
Daktari amenishauri niwe nahudhuria hapa kwaajili ya ustawi wa macho yanguBabu ila mlimani city unapapenda 😹
Ndo unapokutana na kina bibi..!!
Hako kasura ukiwa nako pembeni kwa masaa 12 tu unapata nuru sio unakua na pisi ina sura ngumu kama mimi tena hiyo hapana.😁 Hakika, hata kukatazama kasura unafurahi
Lugha ya mwanamke ni pambo ndio hiyo sawa.. Ukifika hata home na uchovu wa majukuz kasura hako kanakuondolea uchovu wote hasa mtoto ukute kafundwa unyagoniHako kasura ukiwa nako pembeni kwa masaa 12 tu unapata nuru sio unakua na pisi ina sura ngumu kama mimi tena hiyo hapana.
Shindii selfika basi.Shindii Pombe sio chai😅