Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee ni mgeni na JF? tena km huu uzi, si drama na njegeka zote ulikua unashuhudia? Leo uweke utani kuwa tunajuana nje ya hapa? Ili iweje? Huoni km itakua tatizo huko mbelee?

Mie sahivi sitaki drama za JF zinikutee, najiepusha nazo.

Nitakuheshimu sana tena zaidi.
 
Mie niko poaa kabisaa, naona Like lecturer hapo mbelee anamwaga madini.
Huyo alikuwa sehemu ya wawezeshaji

Inashauriwa ili kuwepo na tija eneo lako la kazi, inahitaji kujengewa uwezo mara kwa mara ili kuendana na wakati

Kama bado upo Mjini, fanya mpango kesho unipitie unipeleke Mjini

Babu yako, naona muda wa Kliniki ya macho umekaribia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…