T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 13,106
- 30,528
Kuandika kimatani kuwa nilishawahi kuonana na wewe ndo kosa langu kuu lililopelekea ukasirike na uandike hili gazeti?Ngoja nikuambie kitu, ktk maisha yangu hata huku uraiani, kuna watu nina utani nao, na watu sio.
Wee sijakuweka ktk utani, ndo maana nakuheshimu na sijawahi kuonesha utani wa aina hii?
Nna kanuni 1, siwezi kuvuka mipaka yangu kwa mwingine, na mwingine asivuke mipaka yake kwangu.
Nimechagua kukuheshimu bas ilinde hiyo heshima, na ukiona unakerekwa sana kuhusu mie, kuna ignore na block, bofya hapo na maisha yaendelee.
Drama za JF nilishavuka, tena kwenye huu uzi ndo kabisa sitaki tena.
Alamski! 🙌🙌
Naona mnakuja, sasa km sijuani nae nikubali ili iweje? JF unaijua au unaisikia? Sitakiii bhanaaa.Duuh we ni wanted nini mbona umekuwa mkali hivyo kukuambia anakujua
Sawa mama ngoja niwaache mi napita tu njiaNaona mnakuja, sasa km sijuani nae nikubali ili iweje? JF unaijua au unaisikia? Sitakiii bhanaaa.
Wee ni mgeni na JF? tena km huu uzi, si drama na njegeka zote ulikua unashuhudia? Leo uweke utani kuwa tunajuana nje ya hapa? Ili iweje? Huoni km itakua tatizo huko mbelee?Kuandika kimatani kuwa nilishawahi kuonana na wewe ndo kosa langu kuu lililopelekea ukasirike na uandike hili gazeti?
Aaaaaah!! cocastic kuwa na moyo mpana bhasi rafiki yangu nilikuwa kwenye utani japo umesema hujaniweka kwenye utani
NAKUOMBA UNISAMEHE BURE NA UENDELEE KUNIHESHIMU
OukSawa mama ngoja niwaache mi napita tu njia
Kawaka hatari japo nilikuwa kwenye utani na huwa nataniana nae kablaDuuh we ni wanted nini mbona umekuwa mkali hivyo kukuambia anakujua
Achana na msukuma huyo anazingua.😹😹😹 Mangosha tena?
Kaone😆Yani hapa kuna ngoma tatu unazifukuzia tatizo hujui kipi unataka na wote wanakupelekesha 😹😹😹
😂😂😂😂😂 yaan hatariii tupuuu. Lol😹😹😹😹 Siku ukitokea ugomvi utaambiwa mbona ulimpa T 🤣
Nimerudi kwaajili yako tupia kapicha udugu
Hapa ni wapi Gran pah.?
Weka wanaovaa leggings mie hao ndio stimu zangu zinapanda
leggings ndio nini mkuuWeka wanaovaa leggings mie hao ndio stimu zangu zinapanda
Ilikuwa tunakula Shule yenye lengo la kujengewa uwezo kaziniHapa ni wapi Gran pah.?
Mie niko poaa kabisaa, naona Like lecturer hapo mbelee anamwaga madini.Ilikuwa tunakula Shule yenye lengo la kujengewa uwezo kazini
Ilikuwa ni tukio la mwaka 91 nadhani 🤗
Mjukuu, hujambo lakini?
Umefanya hadi nimevaa miwani yangu ya macho bila kupenda 🤗leggings ndio nini mkuu
View attachment 3440000
Kazaliwa 2005 usisahauUmefanya hadi nimevaa miwani yangu ya macho bila kupenda 🤗