Selfika na JF: Snap it. Show it

Hebu nielezee kidogo udugu, huyu kiumbe natamani nimuone mana ananichekesha sana na mambo yake..!! 😹😹
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na anaonekana hata kwa picha, ni ana mambo mengi haswaa.
 
Alafu darling nikupe sirii 😊

Mikwako chalii moyo na mwili πŸ₯°

Kama mie gari we ndio tairi πŸ›ž

Usije ukaenda mbali utanihadhirii πŸ˜”

Amina amina na iwe kheri amina πŸ™
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ uduguu umerogwaa? Huyo jamaa limbwata kalifuma wapii? Lol
 
Daah πŸ˜„πŸ˜„,. Eti maziwa Lita 100
Lita 1 ya maziwa shilingi 100

Baiskeli ya phoenix (hizo alizogawa Mama Samia juzi) ilikuwa shilingi 18,500 lakini ukizihesabu Kijiji kizima utakuta ni watu wawili ama mmoja pekee ndiyo anamiliki πŸ˜…πŸ™Œ

Wazee wenu tumekula chumvi nyingi ujue
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na anaonekana hata kwa picha, ni ana mambo mengi haswaa.
Hujascreen shot udugu unionyeshe jamani 😹😹😹
Roho imeniuma kweli kukosa pic ya huyo kiumbe…!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…