Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mungu fundi sana😆😆😆 huo sio ujanja wenu ni asili ya eneo husika tu🤣
Mungu fundi sana😆😆😆 huo sio ujanja wenu ni asili ya eneo husika tu🤣
Thibitisha Mungu yupoMungu fundi sana
Kama huamini yupo hiyo ni shauri yako.Thibitisha Mungu yupo
Sio siamini ,ni kweli hayupo , jambo la muhimu ni uthibitisho wa uwepo wake na sio kuamini tu .Kama huamini yupo hiyo ni shauri yako.
Sina haja ya kupoteza nguvu zangu kukuaminisha kwamba Mungu yupo .
SafiParadise 😘
View attachment 3433579
ni wapi huko, ulaya au wapi?Paradise 😘
Kwa manyanya huko.ni wapi huko, ulaya au wapi?
ndo wapi?Kwa manyanya huko.
Weye 😂,.ndo wapi?
niambie bwana, nataka nije nisafishe macho...Weye 😂,.
Upo wapi??niambie bwana, nataka nije nisafishe macho...
morogoroUpo wapi??
Njoo Kwa Samia.morogoro
OkeeSio siamini ,ni kweli hayupo , jambo la muhimu ni uthibitisho wa uwepo wake na sio kuamini tu .
Tuselfika sasa, rafiki.Okee
toa hiyo imoj bas kak mkubwa
Kutoa maweza ila nimekuta utaratibu wa kuweka hivyo humutoa hiyo imoj bas kak mkubwa
utaratibu umewekwa ili kuvunjwa,, isitoshe hakuna hata raia fanya kidogo tuKutoa maweza ila nimekuta utaratibu wa kuweka hivyo humu