sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Okay okayLeo weekend itakua amebanwa na wateja
Ila kama salam nitazifikisha.
Okay okayLeo weekend itakua amebanwa na wateja
Ila kama salam nitazifikisha.
Baada ya kuishiwa pesa 😹Alikua amepotea miezi 6?
Sasa karejea baada ya kutumia nini?
Ha ha ha!! Sumbai unahalalisha chino achepuke? 😹Sio tamqaa
Sisi wanaume ni dhaifu, shetani anatuteka
Wala sio yeye ni sheitan, tumuombeee
Ubuyu mpya, hebu mwagika vizuri 😹😹Punguza ushamba wa kutongoza na kulala na kila mwanamke humu. Wewe ni kokoro? Una miaka 37 lakini unajifanya eti mzee halafu unatongoza hovyo hovyo tu kila mwanamke humu. Unamtia aibu mkeo na watoto hapo Kigamboni na Mbeya. Jiheshimu bana. Tunaomfahamu mkeo tunasikitika sana. Acha ulimbukeni na tulia na mkeo. Be a real man! 📌📌📌📌
dahBaada ya kuishiwa pesa 😹
Mbona hukunitag ?😞 nimesikitika sana
Upo?Mbona hukunitag ?😞 nimesikitika sana
Ndiyo nipoUpo?
MhmmmNdiyo nipo
Emoj inakunyima pumzi utazimia kwa kukosa hewa😍Hii nimenyoa
View attachment 3419526
Nini jamani?Mhmmm
Hahahaha chap kama upepoEmoj inakunyima pumzi utazimia kwa kukosa hewa😍
Nikilewa usishangae nikaachiaNini jamani?
Si halalishi kabisaa tena nakemeaHa ha ha!! Sumbai unahalalisha chino achepuke? 😹
Upo bia ya ngapi? 😀Nikilewa usishangae nikaachia
Naomba hizo sneakers
Nimetulia tu hapaUpo bia ya ngapi? 😀
Nimepita umeona?Nimetulia tu hapa