Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Snapchat-368793413.jpg
 
Unafakamia hayo macholesterol halafu mwanaume unaposti? Chakula cha watu masikini na homeless kule US? Kweli ushamba ni mzigo hata ukiwa na vihela. Exposure muhimu sana aisee!
Pole Mkuu kukwazika!

Kwa uzoefu wangu humu wa miaka 13, mtu anaweza kupost yupo Kigoma, kumbe yupo Botswana, ama mwingine akapost Mkono wa kike, kumbe nje ya Keyboard ni Mwanaume

Mwingine kupitia maandishi yake humu, mkadhani ni Kijana wa miaka 30, kumbe ni Mzee wa miaka 63

Wengine tunaweza kupost tunakunywa Chai holiday inn hotel, kumbe tupo tunafakamia mihogo ya kuchemsha huku Ifakara

Mathalani, nimepost hiyo picha lakini mlaji alikuwa ni mtu mwingine tu

Sisi Wazee kazi yetu ilikuwa kulipa bill tu 😜

Hoja yangu ni kwamba, ili kuendana na maudhui ya mada tajwa, hadhira ya hapa chitchat huposti picha yoyote ili kuibua mijadala na kusogozana tu.
 
Pole Mkuu kukwazika!

Kwa uzoefu wangu humu wa miaka 13, mtu anaweza kupost yupo Kigoma, kumbe yupo Botswana, ama mwingine akapost Mkono wa kike, kumbe nje ya Keyboard ni Mwanaume

Mwingine kupitia maandishi yake humu, mkadhani ni Kijana wa miaka 30, kumbe ni Mzee wa miaka 63

Wengine tunaweza kupost tunakunywa Chai holiday inn hotel, kumbe tupo tunafakamia mihogo ya kuchemsha huku Ifakara

Mathalani, nimepost hiyo picha lakini mlaji alikuwa ni mtu mwingine tu

Sisi Wazee kazi yetu ilikuwa kulipa bill tu 😜

Hoja yangu ni kwamba, ili kuendana na maudhui ya mada tajwa, hadhira ya hapa chitchat huposti picha yoyote ili kuibua mijadala na kusogozana tu.
Na hivi ndivyo inavyokuwa na hapa ndiyo neno uzee ni dawa lilipochukua hatamu katika majibu haya .
 
Pole Mkuu kukwazika!

Kwa uzoefu wangu humu wa miaka 13, mtu anaweza kupost yupo Kigoma, kumbe yupo Botswana, ama mwingine akapost Mkono wa kike, kumbe nje ya Keyboard ni Mwanaume

Mwingine kupitia maandishi yake humu, mkadhani ni Kijana wa miaka 30, kumbe ni Mzee wa miaka 63

Wengine tunaweza kupost tunakunywa Chai holiday inn hotel, kumbe tupo tunafakamia mihogo ya kuchemsha huku Ifakara

Mathalani, nimepost hiyo picha lakini mlaji alikuwa ni mtu mwingine tu

Sisi Wazee kazi yetu ilikuwa kulipa bill tu 😜

Hoja yangu ni kwamba, ili kuendana na maudhui ya mada tajwa, hadhira ya hapa chitchat huposti picha yoyote ili kuibua mijadala na kusogozana tu.
Usingestahili kumjibu huyo mpuuz mkuu ! Ujue watu life taiti mpaka mda wote kila kitu kwake ni hasira , just relax, amefata hili jukwaa kufanya nini? Anajua maudhui yake ? ,,,,

Vitu vingine ni kusogeza time tu, kama ulivyosema vichache sana vinapostiwa humu vikiwa mahususi ama uhalisia 100% !
 
Usingestahili kumjibu huyo mpuuz mkuu ! Ujue watu life taiti mpaka mda wote kila kitu kwake ni hasira , just relax, amefata hili jukwaa kufanya nini? Anajua maudhui yake ? ,,,,

Vitu vingine ni kusogeza time tu, kama ulivyosema vichache sana vinapostiwa humu vikiwa mahususi ama uhalisia 100% !
Shukrani Mkuu, kama ulivyosema Kuna baadhi ya members humu wamekuwa sharp sana ku-react negative kwenye michango ya wenzao

Pamoja na changamoto nyingi tulizonazo, ila hiyo uliyoitaja inachangia pakubwa

Unajua kabla hujapata exposure ya kula Kuku wa KFC America, mwakani Kuna kombe la Dunia najua baadhi yetu wanaweza kwenda America kushuhudia hayo mashindano

Unaanza kula Kuku wa KFC Tanzania ama kula burger za Pizza hut Posta
 
Pole Mkuu kukwazika!

Kwa uzoefu wangu humu wa miaka 13, mtu anaweza kupost yupo Kigoma, kumbe yupo Botswana, ama mwingine akapost Mkono wa kike, kumbe nje ya Keyboard ni Mwanaume

Mwingine kupitia maandishi yake humu, mkadhani ni Kijana wa miaka 30, kumbe ni Mzee wa miaka 63

Wengine tunaweza kupost tunakunywa Chai holiday inn hotel, kumbe tupo tunafakamia mihogo ya kuchemsha huku Ifakara

Mathalani, nimepost hiyo picha lakini mlaji alikuwa ni mtu mwingine tu

Sisi Wazee kazi yetu ilikuwa kulipa bill tu 😜

Hoja yangu ni kwamba, ili kuendana na maudhui ya mada tajwa, hadhira ya hapa chitchat huposti picha yoyote ili kuibua mijadala na kusogozana tu.
Dah ume ua mende kwa kutumia bunduki
 
Hahaha.........nilikuwa naweka rekodi sawa tu

Si unajua haya maandishi yetu yataishi humu hata baada ya sisi kuondoka
Kwa sisi tunao penda kusoma au kuandika, hiyo style uliyo itumia ni deadly Sana.

Ume mpokea kama alivyo, kisha uka mpa lecture ya namna maisha ya jf yalivyo.

Kisha uka mfunza uhuru kutoa maoni na uchaguzi
 
Back
Top Bottom