Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,221
- 79,743
Mbona makelele mengi humu
Naama ya mbabe Brad Pitt, sema nafagilia need for speed ya jesse wa kwenye breaking bad.
Hivi kama ni kweli PDidy anawafanyia hivyo ina maana akiwafanyia anawapa pesa? au inakuwaje? PDidy nimganga wa kienyeji, agent wa shetani ama? huwa sielewi hapo...Likely shida ni P. Diddy. Akina Mondi walikaribishwa chumbani ila hawakuingia japo baadaye walifanya mambo ambayo ni siri. Yeye huyu na gauni alivaa na mihereni akavaa na kujipodoa juu. May be his time for fame is up!
Kumbe kaka 😃 😃Kuna mashine
Wanamsingizia tuHivi kama ni kweli PDidy anawafanyia hivyo ina maana akiwafanyia anawapa pesa? au inakuwaje? PDidy nimganga wa kienyeji, agent wa shetani ama? huwa sielewi hapo...
Chuma ya mtaalamu Walter white, need for speed ya 2014.![]()
Hopefully unaikumbuka hio chuma.... 😂
Hivi kuna need for speed amecheza Jesse, ni ya mwaka gani?
Hata mi naona uzushi tu...Wanamsingizia tu
Jesse kwenye breaking bad alikuwa ananiacha hoi sana...and 100 others hii ni favorite scene, uki acha pale aron paul alipo kuwa ana maliza race
View attachment 3418392
Jamani Jamani. Ningekuwa na mguu kama huo mbona ningeringa mieeee 🤣Huu mguu wa Angel Nylon
Mtaalamu Heisenberg..Chuma ya mtaalamu Walter white, need for speed ya 2014.
View attachment 3418375
I'm not in danger, I'm the dangerMtaalamu Heisenberg..
Hakuna fundi mwingine humu wa kupaka Henna tattoo... kazi nzuri by the way..Jamani Jamani. Ningekuwa na mguu kama huo mbona ningeringa mieeee 🤣
Hii scene Heisenberg aligeuka hadi mke wake akaogopa... mke alimpa pesa Ted.. jamaa alibadilika akawa joker..I'm not in danger, I'm the danger
Muda ambao mchizi ana taka wasepe waka anze upya, kumbe mkewe kahonga mtonyo😂😂.Hii scene Heisenberg aligeuka hadi mke wake akaogopa... mke alimpa pesa Ted.. jamaa alibadilika akawa joker..
View attachment 3418406
Yani muda unataka kutoroka na familia na ukusanye pesa zako kumkimbia mtu hatari drug lord anayetaka kuwaua, mkeo anakuambia amempa jamaa pesa ambae ni mchepuko wake alikuwa anamla... lazima akili ziruke..Muda ambao mchizi ana taka wasepe waka anze upya, kumbe mkewe kahonga mtonyo😂😂.