Selfika na JF: Snap it. Show it

Sija fikia level hizo mdogo wangu, beside picha zake nazi jua SanaπŸ˜‚πŸ˜‚
Hakuna kujifanya unazijua, unatamba nae kwa mdomo tu kama waimba taarabu πŸ˜‚

Mama mtu wangu hana baya mapema tu kashusha yake mwambie na tandam wako ashushe yake πŸ˜‚

Mama mtu Tayana-wog leo nipo nae huyu naona amekuzoea vibaya.
 
Hakuna kujifanya unazijua, unatamba nae kwa mdomo tu kama waimba taarabu πŸ˜‚

Mama mtu wangu hana baya mapema tu kashusha yake mwambie na tandam wako ashushe yake πŸ˜‚

Mama mtu Tayana-wog leo nipo nae huyu naona amekuzoea vibaya.
Sasa 2010 mimi na wewe tulikuwa bado primary, dem wako alikuwa asha pelekewa mahari πŸ˜‚πŸ¦…
 
Sasa 2010 mimi na wewe tulikuwa bado primary, dem wako alikuwa asha pelekewa mahari πŸ˜‚πŸ¦…
Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji πŸ˜‚

We imba nyimbo zote ila hunizuii kula raha na Tayana-wog, kifupi ni kwamba navimba nae popote 😍.

Njoo uvimbe na wako kama hiyo jeuri unayo πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…