min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,451
- 127,867
Rasii wangu hana makuu bwashee 😊Basi mi naangalia pembeni 😁😁
Rasii wangu hana makuu bwashee 😊Basi mi naangalia pembeni 😁😁
Nimerudia mara tatu kui-play ndiyo nikaelewa kwamba theme ya huu wimbo ni Kijembe Kwa dear Xbabu unakula ngoma za vijana
Ila si nili mtahadharisha😂🦅Mbon unatumia Nuclear kaka wakati mwenzako kaja na bunduki za maji😃😃😃
Swali la mtego hilo 😅Kweli daslam mna ishi vizuri, ngoja nami siku nikija nita patembelea.
African heritage napo ulisha fika?
Naama kaka bado nipo nanjilinji, niki ondoka nani ata linda Tumblri wasile shambani 😂 😂Bado upo nanjilinji😆😆
Pale African heritage ni wakarimu haswa, nili penda wahudumu wote wana slim curve figure 😂 🦅.Swali la mtego hilo 😅
Karibu sana, DSM ni wakarimu sana 🤗
Mnapiga tu soga pichaa aaaahNaama kaka bado nipo nanjilinji, niki ondoka nani ata linda Tumblri wasile shambani 😂 😂
Hamna kitu wewe, vita ya panga unakuja na bunduki kama siyo woga ni nini? 😂Ila si nili mtahadharisha😂🦅
Bro hebu anza weweMnapiga tu soga pichaa aaaah
Nishatupia bwasheBro hebu anza wewe
Of course, Wana customer service nzuri sana.Pale African heritage ni wakarimu haswa, nili penda wahudumu wote wana slim curve figure 😂 🦅.
Asante nadhani Mwaka 2028 nita sogea.
bwashee ile picha ina hamasisha wizi mtaani kwangu😂🦅Nishatupia bwashe
Hapana , mwanamke wa kuwa mke wako au mama watoto wako, licha ya kuwa na uzuri wa sura ila hicho sio kigezo kikuu, ndio maana una ona toto kali ila haziolewi zipo tu.Ma Bro samahani naomba kueleweshwa, hivi ni kweli mapenzi upofu.
au kwa huyu ndugu yetu na kikongwe wake, Kuna ndumba ina tumika 😂🦅😂
Selikavu, dosho12, Edo kissy,View attachment 3414665
Hahahah mimi kunikuta na nguo za kichungaji ni nadra sana , ila nikipiga suti nawaka kinouma , ni vile sio mambo zangu bwashee 🤣bwashee ile picha ina hamasisha wizi mtaani kwangu😂🦅
Kaka hiyo ni diss track kwa ndugu yangu mmoja 😂🦅Hapana , mwanamke wa kuwa mke wako au mama watoto wako, licha ya kuwa na uzuri wa sura ila hicho sio kigezo kikuu, ndio maana una ona toto kali ila haziolewi zipo tu.
HahahaOf course, Wana customer service nzuri sana.
By the way, huwa najikuta narudi mara mbili mbili sijui kwanini wakati macho yangu huwa hayaoni vizuri 😜
Noma 🤣 pisi kali zisikie tu bwasheeKaka hiyo ni diss track kwa ndugu yangu mmoja 😂🦅
Ndio maana dronedrake ali tushauri tuipende sabuni 😂🦅Noma 🤣 pisi kali zisikie tu bwashee