Selfika na JF: Snap it. Show it

Haha hebu siku jaribu kuchanganya beer moja, wine moja, whisky moja na spirit moja za aina yoyote ile unayoitaka wewe yaani chupa moja moja tu wala si zaidi halafu tuletee mrejesho..
MM
Nilikunywaga dompo nikiwa room tena zile fresh kabisa I know u know what I mean, nikaenda Rainbow nikahamia kwenye Savanna...badae Royal si nikahamia kwenye black ice Smirnoff 🙇
eeeh! Kesho yake nilivyoamka najua mm na Mungu wangu 😂😂 niliacha kunywa kabisaa.. Me huwa silewi na sijawai kulewa ila nakuwaga high sana, aibu zinapotea, pombe inakimbilia down to the earth 😂😂😂😂
spirit... K vant...nyagi and the like situmiagi
 
Hahahaha pombe inakimbilia uvunguni hahaha umetisha sana....toa experience hapa na Karma ajue kuwa pombe sio maji
 
Haha hebu siku jaribu kuchanganya beer moja, wine moja, whisky moja na spirit moja za aina yoyote ile unayoitaka wewe yaani chupa moja moja tu wala si zaidi halafu tuletee mrejesho..
Ukichanganya pombe hakika hutapata kitu kizuri utakua so much exhausted kichwa kitauma, na hangover yake huchukua siku nzima kuisha kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…