Selfika na JF: Snap it. Show it

Maka yani nimerudia kusoma tena nacheka km chizi 😹😹😹

Wavuta wida wote peponi..!! 🀣
Tutakuwa na wanetu, bob Marley, 2pac, Peter tosh na jamaa zetu wemgine

πŸ€£πŸ˜‚
 
Hii lazima niitendee dhambi inanyegesha bhana..!! 😹😹

Naimagine ndo umenikunja kweli sasa, mbona balaa sana..!! 🀣

Em selfika maka kwanza nikuone bhana..!!
 
Hii lazima niitendee dhambi inanyegesha bhana..!! 😹😹

Naimagine ndo umenikunja kweli sasa, mbona balaa sana..!! 🀣

Em selfika maka kwanza nikuone bhana..!!
Huwezi amini, mie ni mvivu wa kupiga picha kinooma...
Hata kwenye mitandao yangu ya kijamii, nina kauvivu.
Instagramara ya mwisho kupost tena picha yangu ilikuwa ni miaka mingapi sijui nyuma. Kama 2023 hivi na picha yenyewe ni ya 2020 kama sikosei
 
Huwezi amini, mie ni mvivu wa kupiga picha kinooma...
Hata kwenye mitandao yangu ya kijamii, nina kauvivu.
Instagramara ya mwisho kupost tena picha yangu ilikuwa ni miaka mingapi sijui nyuma. Kama 2023 hivi na picha yenyewe ni ya 2020 kama sikosei
Umeanza visababu 😞
Nipe handle nikakuone basi 😜
 
Maish mafupi haya, kula wida, akili ikae sawa.
Umenikumbusha kulikua na roommate wangu alikua anakula wida vibaya, nikimuomba nipige pafu moja anasema wewe kwa hizo akili zako utatupa kituko cha mwaka tujikute kwa milladayo..!! 😹😹😹

Alikua pisi ya moto shida yake mkoboaji bhana..!! πŸ˜₯
 
hahaa...
Ungejichanganya tu, angekukoboa, ukabaki pumba tu.πŸ˜‚πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…