π π hamna nilicho haribu maMtu, nilibadilisha simu, pasipo kuhamisha vitu. Password huwa sikalili, pia email niliyofungulia account ni ya mchongo.. hata ku reset password haiwezekani.. ndio imeenda vile.. karibu bubiki tupige nyagi maMtu
Mwachiluwi nilikuambia baMtu yuko busy ananitafutia Segerumba hana muda wa kunibebisha kwenye replies, haya π° zimepatikana tunaenda kutamba Hyatt π€£ π€£ π€£