Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,423
Haya amka tufanye mazoeziNdio ndo nataka nikalale
Haya amka tufanye mazoeziNdio ndo nataka nikalale
😂😂😂Sawa nishaamkaHaya amka tufanye mazoezi
Oooh safi sana, umeamka salama lkn,Rafiki😂😂😂Sawa nishaamka
Ndio niko poa, sijui ww kaka angu😊😊Oooh safi sana, umeamka salama lkn,Rafiki
Tabia mbaya.Hahaha kabla ya kulewa na ignore uzi kwanza 😁
Safi kbs,vzr km uko poa, usisahau ku selfika kwa niaba yangu ,unitagNdio niko poa, sijui ww kaka angu😊😊
Aaah sawa basi nitakutag usijaliSafi kbs,vzr km uko poa, usisahau ku selfika kwa niaba yangu ,unitag
Sawa sawaAaah sawa basi nitakutag usijali
Hahaha Aliyesema pombe sio chai hakukosea sis !Kuna sehem nilikua nafanya kazi mkoani, basi bana wengi tumetoka mkoa tukimaliza kazi tunaenda kulewa, Kuna huyo mmoja wenzie walikua wanamkuta kalala chooni
Wee 🤳 yako ikwapi rafiki??!!Hebu selfika ,saa hz wamelala
Mambo yashakua mengi napitwaje na blessings zako sis mweh!!!Aaah sawa basi nitakutag usijali
Hahahahaha, Rafiki upo? Maana naonaga cc tu🤣🏃🏽Wee 🤳 yako ikwapi rafiki??!!
Nawe Sababisha kaforo jioni yetu ikuwe frembe kamanda!
Nipo rafiki vimajukumu vimekua vingi labda!Hahahahaha, Rafiki upo? Maana naonaga cc tu🤣🏃🏽
Hahahahaha,pole kwa yote, subiri kdg inakujaNipo rafiki vimajukumu vimekua vingi labda!
Huku nilikuwa na international pin nimeachiwa majuzi tu! Kiranja aliyenifunga haendi mbinguni walai !!😊
Haya nikaribishe na 🤳 moko saii wametingwa rafiki
Santo sana kamanda!!Hahahahaha,pole kwa yote, subiri kdg inakuja
Hahahaha,hebu nichokoze kdgSanto sana kamanda!!
Haya Nasubiri hapaa.🙇
Mweh!! Nauzee huu hata pozi la kupiga picha hata lipo basi rafiki hahaha!Hahahaha,hebu nichokoze kdg
Hahahaha,kwahiyo mimi kijana ?Mweh!! Nauzee huu hata pozi la kupiga picha hata lipo basi rafiki hahaha!
Hapa Nasubiria yako yaukaribisho fanya mafekechee nataka nikapike🙇
😁😁😁😁😂😂!Hahahaha,kwahiyo mimi kijana ?