Hongera Mkuu, you have been blessed with a very nice daughter
Wanasema mtoto wa kike ni rafiki wa Babaπ
Siku nikifanikiwa kupata mtoto wa kike kwenye Uzao wangu, lazima ninunue Mbwa mkali kwaajili ya kuimarisha Ulinzi nyumbani
Sitaki akina
Kapachino na wenzake akina
Half american hata wamsogelee π€