Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,674
- 39,090
Mimi nilikuwa naogopa kwenda ila nashukuru nimeenda na kurudi salama.Ila uwe na mwenyeji atakaye kuongoza tofauti na hapo uwezekano wa kurudi Tanzania ni mdogo sanaOuh hongera sana...
Nasikia Somalia currency yao ni Shillings?
Nina mpango kufika hapo, bila shaka utanipa ABCs.