Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Juice ya tende tena🙌

Mimi niliacha kunywa hiyo juice tangu Bibi yao aende kuwasiliana Vijana wetu huko Mjini

Juice gani unakunywa, inafanya kazi ya kuamsha vilivyo lala tu 😜
Inafanya kazi gani Ili nianze kutengeneza hapa nyumbni😃
 
Inafanya kazi gani Ili nianze kutengeneza hapa nyumbni😃
Inasaidia kuamsha vilivyolala kwetu Wanaume

Hata Wazee wa Umri wetu ambao huenda safari moja Kwa Mwaka, wanajikuta wanaenda safari moja Kwa Mwezi ama safari 12 Kwa Mwaka 🏋️🏋️🤸🤸🤸
 
Kwa uzee gani ulionao jamani halafu toka nizaliwe sijawahi kukiona kiko😀
Nimekula chumvi nyingi ujue, hadi Mvi zimeamua kujenga urafiki na Mimi 😜

Ukifika Dukani waoneshe hii picha hapa Chini, waambie Babu yangu anaomba hiki kifaa cha kuvutia tumbaku 🤗
Screenshot_20241010-130525_1.jpg
 
Back
Top Bottom