Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,620
- 69,356
Hiyo ni mwaka 1-2 yatabaki yale makubwa kwa mbaali, mi mpk leo nina makovu na niliugua nikiwa na miaka 7Yeah ana karangi yanaonekanajee! Halafu naona yanakua meusi
Hiyo ni mwaka 1-2 yatabaki yale makubwa kwa mbaali, mi mpk leo nina makovu na niliugua nikiwa na miaka 7Yeah ana karangi yanaonekanajee! Halafu naona yanakua meusi
Hahaa hii sahau mkuu.Probability ndogo sana labda kama ni kijana wa hapohapo kama kina Zito walivyopata.😄😄😄😄.Michuzi ndio haipo mkuu nategemea sana bahati na huruma za wapiga kura.
Duh..... hatariWajukuu kama wanautaka
Ni mwendo wa ubaya ubwela tu.
Hatariii🎶Smaaaaartiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii aahhh Smaaartiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Mrare unono wapendwa 😴💤💤💤
Karibu tena selfika! Bila shaka kila kitu kipo poaaaa pande hizoHatariii
Hatari sana hioo Mlozi! Nyonyo zakwendraaaa🔥🔥🔥🔥
Karibu ya jioni 🍵 🙂Naomba chai
Nipe wewe basi mfyuuu.!! 😹😹Unataka kumuongopea tu saint Anne 😂
Yaah.! Nimefanikiwa chinoUmefanikiwa
😹😹😹 Hamna bana D yule sis age go.Bora umeonekana!!
Kuna mda nikasema au we ndo D double D. Nikawa nawasi wasi sana aise.
Kapeace tunaomba uselfike mahi mtoto mwenye figure yake mjini selfika..! 😹😹Halafu aselfike jamani
Tumemiss picha Kali,picha za itel tumezichokaa humu
Tajiri wa dunia pia Bantu Lady tunasubiri atusafishie ukungu
Poa Nkamu nishafanikiwa mzigo upo njianiKwa kweli hii route sijawahi kujaribu kusafirisha mzigo ila jaribu premier
🤣🤣🤣 SITAKIIIIKaah!
Si umuazime apigie tu picha
Kemia ili ujue kubalance matoke na dagaa 😹😹😹🏃♀️🏃♀️🏃♀️Wakufundisha Kemia?
Labda Bios😂
🙄🙄🙄🙄unaleta uchonganishi nashukuru kamlango nimekafunga usiwatie jakamoyo wazee na ma aunt wa watuKapeace tunaomba uselfike mahi mtoto mwenye figure yake mjini selfika..! 😹😹
Nkamu huyu mtoto mkali sana anachukua namba 1 mpk 3 zilizobaki ndo shangazi na wengine wagombaniane 😜🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Mtoto mkareee wewe kapeace huna mpinzani kabisaa.!! 😹Nimecheka jf watuwekee voice chat aaaaiiii, asante kwa kunifurahisha na kunipamba namna hii!! 🤣🤣🤣🤣