Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,925
Sijambo, habari yako Sumbai?Hujambo L
Sijambo, habari yako Sumbai?Hujambo L
Kwahiyo kusema ukweli uchonganishi? 🤣🤣🤣🙄🙄🙄🙄unaleta uchonganishi nashukuru kamlango nimekafunga usiwatie jakamoyo wazee na ma aunt wa watu
Babu nae kafunga pm😂😂!!!Mtoto mkareee wewe kapeace huna mpinzani kabisaa.!! 😹
Mwili umebalance huna kitambi, halafu lips 👄 sasa awwwweh babu ataacha kuvuta kiko mbona 😂😂😂
Babu ni wa wote kila mtu ale kwa urefu wa kamba yakeKwahiyo kusema ukweli uchonganishi? 🤣🤣🤣
Bana weeh mwenye hatimiliki ya babu ajitokeze hapa.! Kwani ma auntie nao wapo kwenye ligi ya babu?!! 😜
Em wajitokeze waseme wanacheza namba ngapi? 😂😂😂
Yaani sijui kwanini Nkamu ananidanganyaUnataka kumuongopea tu saint Anne 😂
AfadhaliPoa Nkamu nishafanikiwa mzigo upo njiani
Itel yenye ukungu?🤣🤣🤣 SITAKIIII
Akaazime ya shangazi 😹
Woyooooooooooooooooo.!!!Babu ni wa wote kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Ile combo sijui shangazi aliitolea wapi aiseeKemia ili ujue kubalance matoke na dagaa 😹😹😹🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Babu lazima apatiwe joto joto ili aishi maisha marefu zaidi,Woyooooooooooooooooo.!!!
Hayo ndo maneno sasa mahi 😹😹😹
Babu ni wa wote mwenye cheti cha ndoa bibi peke yake, hao masuria ni mwendo wa mkanyagano..!
Asiyeweza ligi za babu awapishe akacheze ndondo cup wakagombee kombe la mbuzi.! 🤣🤣🤣
Ila babu yangu G mitano tenah 😹😹
Babu mibibi unayo na unatamba nayo, uhangaike kutafuta pesa ujanani na uzeeni ushindwe kula pension yako na warembo awweh sio kweli.!! 🤣🤣🤣
Ningeshangaa 🤣🤣🤣Hajafunga namsingizia ili anichape na mkongojo wake
🤣🤣🤣 Mi sina mambo anakuchuuza huyo.!Yaani sijui kwanini Nkamu ananidanganya
Ss hivi ana tekno 😹😹Itel yenye ukungu?
Ndiomana kitambi hakiishi we maharage, dagaa na matoke unafanya mchezo?!! 😹😹😹Ile combo sijui shangazi aliitolea wapi aisee
Eqqn yake haibalance kabisa
Shangazi anatengeneza mabomu mazito ya Nyuklia
Shangazi anazidi kutupwa mbaliKapeace tunaomba uselfike mahi mtoto mwenye figure yake mjini selfika..! 😹😹
Nkamu huyu mtoto mkali sana anachukua namba 1 mpk 3 zilizobaki ndo shangazi na wengine wagombaniane 😜🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️
🤣🤣🤣 Babu atajidai basi akiona hii commentBabu lazima apatiwe joto joto ili aishi maisha marefu zaidi,