Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
HahahahaDoh!
HahahahaDoh!
Hapana aiseeee hapana kabisaaaHahahaha, huyataki
Get prepared... Yajayo yatafurahisha zaidi.
Can't wait to meet you there!!
HahahahaHapana aiseeee hapana kabisaaa
Chini huko nimepaelewa zaidiKama hivyo, weekend imeanza.View attachment 1283417
Haha, kweli waganga wanafaidi, anajionea nyuchi kila akijisikia tu manake hawakauiki kwake



Haha, kweli waganga wanafaidi, anajionea nyuchi kila akijisikia tu manake hawakauiki kwake![]()
Mkuu, sisi hatutaki kusikia habari mbaya ITV "habari za saa". High speed kills, kwani unaenda wapi huko kusikofíkika? Slow dowñ and drive responsibly.
Ba J 💕
Chini huko nimepaelewa zaidi
Hahahaha, na wanavyopenda hayo mamboHaha, kweli waganga wanafaidi, anajionea nyuchi kila akijisikia tu manake hawakauiki kwake![]()
Amakweli hawara hana talaka.Hahahaaa..
Hapana mkwe..! Si unajua sufuria la zamani halitupwi...utaliweka tuu store ipo siku litakufaa.![]()
Thubutu yake. Kipilipili changu nakilinda![]()





HahahahaahhFanya kama android basi..
Update Existing![]()
Nimtese na nini sasa? Mbona hupendi maendeleo yangu mkwe?Unataka ukitese kizee cha watu kijifie, urithi mali eenh![]()




Woyoooooo!!!Get prepared... Yajayo yatafurahisha zaidi.
Shee hayo macho kama umeona konyagi vipi tena?
Ndo maana na mimi nataka kukuwa mgangaHaha, kweli waganga wanafaidi, anajionea nyuchi kila akijisikia tu manake hawakauiki kwake![]()