Utaweza na huku unakula karanga kila jioni...
Nakufanya mchepuko wa kudumu..![]()





Ninibaya?
Hahah...Nimtese na nini sasa? Mbona hupendi maendeleo yangu mkwe?![]()
They are nuts.
Hahahaha, aseeNdo maana na mimi nataka kukuwa mganga
Nitakavyompeti peti hadi atarudi ujana. We fanya mambo tu.Hahah...
Presha presha zako tu mkwe...kibabu kinaanza kulegea magoti, mara upara huo...
Nitakuwa msaidizi wa mganga.Ndo maana na mimi nataka kukuwa mganga
Ngoja nikutafutie mkwe, nawe ule nyama mbichi (kipendacho roho hula nyama mbichi)Nitakavyompeti peti hadi atarudi ujana. We fanya mambo tu.