cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Kweli kabisaa, nikiwa na cm siwagi na utulivu kabisaa.Coca huyooo
Safi
Kweli simu huwa zinatoa watu uweponi.
Haya Coca
Na mimi naomba ubuyu wa ini sijui figo...yaani naona tu juu juu
Eti ini ni nani?
Ubuyu wa Figo, wee huujui kweliii?






. Leo umeniota eeeh 


? Sijapendaaa,