Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nkamu
Kwa mafao nadhani mimi nimekuzidi aiseee
Nkamu hapana mi nimefukuza mpk babu miga na mabakuli wabishi wale..! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Haya waasi miaka nenda rudi alikuwa anachuana nao lkn wapi?!! Mi nimefika nimetimua wote… na shemeji nimemrudisha famchezo 🀣🀣🀣

Mafao yangu makubwa hata shangazi analijua hilo
 
Nkamu
Sisi tulikuwa naye bega Kwa bega wakati anapambana kurudisha majeshi
 
Imeisha hiyo, huyo mbabu mwambie mi nafunga kabla ma πŸ• hayajaingia🀣🀣🀣🀣 The Monk
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Monk ameanza lini utapeli
Yani nilivyompigia debe mpk umefungua pm halafu hajakutafuta kweli? 😹😹😹
 
Nkamu
Sisi tulikuwa naye bega Kwa bega wakati anapambana kurudisha majeshi
Nyie mlikuwa mnaplay team zote πŸ˜‚πŸ˜‚
Mi nilisimama naye mpk kamrudisha sele kwapani..!
Nipewe mafao yangu kwakweli 😹
 
Nyie mlikuwa mnaplay team zote πŸ˜‚πŸ˜‚
Mi nilisimama naye mpk kamrudisha sele kwapani..!
Nipewe mafao yangu kwakweli 😹
Shangazi alikuwa anashambuliwa hadi tunaingilia kati
Mimi nilikuwa timu yake mzalendo kabla hajatuvuruga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…