Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Yaani Mimi na Nkamu tumepitwa💔
Hii ni batili
Itarudiwa😂😂😂
Yaani Mimi na Nkamu tumepitwa💔
Sasa ndo hicho kipindi mtu akuone atasema hapa watu wanaweweseka na kipi?Umeongea ki ukubwa mnooo...
Huwa tunapauka tukiwa na mimba changa balaa...😃😃😃😃unaweza jikataa
Hizi kamera zisikudanganye. Mie chikondee hatari.Napenda rangi unaonekana ujanani ulikuwa na jifua pana pana
Ila sijaona mbaya humu kwa kweli. Wote ni 🔥🔥🔥🔥🔥 unajiachaje kwenye list mrembo mwenye staha zake Aaliyyah
Ofisa ofisa
Ila uzee mi siuoni au nao unafunikwa na camera?
Sio wewe tuNdo ushangae...ila midomo aaha...ukinikuta kule sport huwezi dhania...ila ki ukweli mm by nature ni mpole na mkimya sio muongeaji ni hapa tuu JF najiachia kwny maandishi...
Mtani huu mguu umeuibia wapi?Nyie nimejua kufuta itakuwa chap kwa haraka kila mudaView attachment 3105523🤣🤣🤣
Upande wa Mama, maana ingekuwa Mara labda majanga muda huu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtani huu mguu umeuibia wapi?
Hapo sawa 🤣🤣wanawake wa kiafrika wamejua kutuzaa jamani wabarikiwe sana,Upande wa Mama, maana ingekuwa Mara labda majanga muda huu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Amina, Mungu aliumba, wamama wakazaa. Tunawashukuru sana 🙏Hapo sawa 🤣🤣wanawake wa kiafrika wamejua kutuzaa jamani wabarikiwe sana,
Haha naikumbuka hii Pub wakati naishi Kigamboni.Njoo kacheka hapa
Ipo 😅😅😅😅😅 njoo nikufundishe maujanja mrembo. Mwenzako naselfika nitakavyo zinafutika 😆😆😆😆Bado ilikuwepo? 😄😄
Acha basiii mbona niliifuta?Ipo 😅😅😅😅😅 njoo nikufundishe maujanja mrembo. Mwenzako naselfika nitakavyo zinafutika 😆😆😆😆
Mbon ya kwako siioni?Mtani huu mguu umeuibia wapi?
Nimeifuta. Yako naiona kwa watu wawili waliokuquote kipenzi changu. Tukireport itafutika.Mbon ya kwako siioni?
Wanayo hawajakupa tu? Mama mchungaji utaweza kusubiri mida ya wanga?😅Mbon ya kwako siioni?