Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
My Wii nimefutaLips 🥰🥰
Wii futa wataiba mali ya kaka nasikia wivu
My Wii nimefutaLips 🥰🥰
Wii futa wataiba mali ya kaka nasikia wivu
Ila kuja lazima aje tu😂😂😂
Nkamu unachonifanyia leo haki kesho ntashinda nasinzia.!
Shangazi Hana mbambamba mi ananikoshaga sana.!!
Tujiandae marefa mchuano utakuwa moto sana.!!
Siku hizi najitahidi kapoda napaka paka ila ndo joto la dar sasa aiii likinikera nanawa, nilipaka makeup kwenye harusi flani kiukweli sikujipenda nilivyotokea km nataka kulia 🤣🤣🤣sitarudiaHuyu dada anaiwezea sana aisee
Yaani ni mtaalam
Mimi bodyline yangu ya buku hatari sana najikandika hadi usoni
Urembo ni sifuri kabisa
Hata powder ya 500 noo
Yaani nipo mbali sana
Mi mwenyewe nilikutia story coca anasimulia nikachangia nikala ban 😂😂😂Hivi ini ndio nani jamani
Nilipitwaga😂😂
Uzuri unapendeza mie hapana sipendezi na hivyo vitu na sijui kuvipaka 🤣🤣🤣Hahah mm napenda sana nilikosa bas hata wese mdomo ulainike 😀😀
Mamaangu akipak wanja ukimuangalia usoni anaufuta 🤣Siku hizi najitahidi kapoda napaka paka ila ndo joto la dar sasa aiii likinikera nanawa, nilipaka makeup kwenye harusi flani kiukweli sikujipenda nilivyotokea km nataka kulia 🤣🤣🤣sitarudia
Hebu tuone ulivyotokeaSiku hizi najitahidi kapoda napaka paka ila ndo joto la dar sasa aiii likinikera nanawa, nilipaka makeup kwenye harusi flani kiukweli sikujipenda nilivyotokea km nataka kulia 🤣🤣🤣sitarudia
Wewe hata wanja lazima unajua kupakaMamaangu akipak wanja ukimuangalia usoni anaufuta 🤣
Mm lipstick hodar wanja ndo unanishinda
Mi vyote sina humu ndani, hata kutinda nyusi tu sijui, nastahili huruma nipo tuu kwa sauti ya Nicole Joe berryMamaangu akipak wanja ukimuangalua usoni anaufuta 🤣
Mm lipstick hodar wanja ndo unanishinda
Tatizo stori za Coca zinahitaji kiwango cha juu sana Cha umbea na kuelewaMi mwenyewe nilikutia story coca anasimulia nikachangia nikala ban 😂😂😂
Nikaingia chimbo mpk nikamjua na kanipa full story nilicheka sana.!!
Alikuwa anawapa simu wanawake anaongea na wadau wa JF kisha wanatuma miamala 😹😹
Em ninyamaze ntasutwa mie
😂😂😂 Ningeupata mngekoma ningewapanga km miongozo halafu siwahongi ni free P tyuu.!!! Humu tyuu.!!😂😂😂yani wewe ulitakiwa upewe mjulubeng kule downtown kwahiyo wifi yako aifute chap ila wengine aahhh walahi kesho utafute pa kujificha
Makeup hainikai hata picha sipigagi niamini Saint, nachukiza labda nilipakwa vibaya ila nilitoa laki kwa ajili ya makeup tu aah kuna vitu sio vyangu nakubali vinipite tuHebu tuone ulivyotokea
Yawezekana wewe hujui kujiona😂
Hapo tu huna makeup
Umetetemesha hadi server za jf
Za makeup zinaenda kubomoka kabisa server za Melo🔥
Hapa sasa tutakuwa tunakuja hata za kudanlod nazo si mnaangalia?
Namna hiyo wasije kukusumbua 😂😂My Wii nimefuta
Tungekupa gono uti na yule kubwa lao😂😂😂 Ningeupata mngekoma ningewapanga km miongozo halafu siwahongi ni free P tyuu.!!! Humu tyuu.!!
Mi kazi yangu kuwarusha mmahh pwaah pwaah 😹😹
Nyie wote nawalinda mali za watu 😂
😂😂😂😂Ila kuja lazima aje tu
Ila sijui kama atashinda
Tumuombee kwa mama maria yu naye
Bantu na kapeace wakifurumua bomu jingine inakwenda kuwa balaa🔥🔥
Make up wengi hawajui , make up kidogo tu, sio unapakwa make up matokeo yake unakuwa kama wale bibi harusi wa uswahilini..Makeup hainikai hata picha sipigagi niamini Saint, nachukiza labda nilipakwa vibaya ila nilitoa laki kwa ajili ya makeup tu aah kuna vitu sio vyangu nakubali vinipite tu
Make up ukimkuta mpakaji kavurugwa, unatoka km tumbili mjane 😂😂Siku hizi najitahidi kapoda napaka paka ila ndo joto la dar sasa aiii likinikera nanawa, nilipaka makeup kwenye harusi flani kiukweli sikujipenda nilivyotokea km nataka kulia 🤣🤣🤣sitarudia
Unakuwa km unazomea watu km unataka kulia km unakata gogo gumu liligoma kuuacha mwili,,,, aaaaahh 🙌🙌Make up wengi hawajui , make up kidogo tu, sio unapakwa make up matokeo yake unakuwa kama wale bibi harusi wa uswahilini..
Hebu niache we mtotoMake up ukimkuta mpakaji kavurugwa, unatoka km tumbili mjane 😂😂