Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shem lake hilo kiuti kimekaa mahala pake awwhh Kapeace shosti umejipata 🤣🤣🤣

Shem wewe mimi nizoee ndo nilivyo hata usinitilie maanani, nna stress za pesa 😹😹
Wewe kikubwa unahema gari tutakodi hata bajaji 😂

Mh!

Gari ya kukodi imeshapatikana, Sasa sijui kitu Gani kingine kitafuatia

Screenshot_2024-09-23-21-21-34-62_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg


Screenshot_2024-09-23-21-17-41-51_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg


Ngoja nimalizie kikao Cha wastaafu kwanza

IMG_20240923_213604.jpg
 
Unamfahamu kwa jina linaanzia na S ,

Kwahiyo umegoma kuselfika nimpatie picha yako ya sasa?🤣
S tenahh.!!
Weeh nawe unaanza kunitajia watu siwajui Huyo S wa wapi??!!
Usije kunipa mume wa shangazi ukanitafutia balaa mwenzio sitaki hekaheka na waja ss hivi.!! 😂😂😂

Mara A mara S halafu sina mpz mwenye hizo herufi, babe wangu anaanzia na N 😜😂😂😂
 
S tenahh.!!
Weeh nawe unaanza kunitajia watu siwajui Huyo S wa wapi??!!
Usije kunipa mume wa shangazi ukanitafutia balaa mwenzio sitaki hekaheka na waja ss hivi.!! 😂😂😂

Mara A mara S halafu sina mpz mwenye hizo herufi, babe wangu anaanzia na N 😜😂😂😂
S namfahamu kwa jina la A,


Kijana uliyemnyima kwa bibi enzi zako za ujana.
🤣
 
Back
Top Bottom