and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 4,515
- 14,977
Am good, nilikua nashangaa tu hio figure namba V8...Nzuri ndugu yangu. Za masiku tele.
We kweli bantu lady...
Am good, nilikua nashangaa tu hio figure namba V8...Nzuri ndugu yangu. Za masiku tele.
Na mi nilihisi nilikuwa namjaza ajitokeze hapa tajiriiiiiiiii 😜Anasukuma ngoma nzito kuliko hiyo nilishamfuma sehemu anaulizia kitu
Toka asubuhi nakupiga jicho utadhani nachochea maharage yasiungue😂Leo hujapitwa kipenzi, ujasiri wako wa kuselfika, umenishawishi pia 🥰🥰🥰
wataogopa hapa kakaMuda wako sasa huu kijana kumuweka shemeji ili kaka yako nimuone.
hadi wewe kubwa la maadui umejitokeza...Am good, nilikua nashangaa tu hio figure namba V8...
We kweli bantu lady...
Tena makali makali tuNa mi nilihisi nilikuwa namjaza ajitokeze hapa tajiriiiiiiiii 😜
Ila nna mashem wote wana ndinga humu..!
😍😍😍 odo hizo pisto Mashallah
Nyie Mungu anaumba km umeshushwa!!
Awwwwhh shem kajipata jamani had hips don lie zipo? 😂😂😂
Sie tuliodondokea bafuni turudi tukafanyike upya 😥
Weeh na nyingine zipo?? Hizo sasa si ndo hatari odo 😂😂😂Unajua Odo nacheka, sijui haya maneno unayatoaga wapi jamani. Hakuna tena nimejipunguza, zimeisha kabisa. Siku nitakutumia TBT.
Wewe ulivyo vizuri vile, mshukuru Mungu kipenzi. Umemuona shemeji yako. Kanishtukiza na picha sikujiandaa 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂🤣 Nilikuwa nazuga huyo wa kuweka pic yako nani.??Na umeamini😅😅
Haya wewe tunza rekodi yako ya mtindi.😊Thubutuuu.!! Huyo tumuache mi niko km Ruby mifupa mitupu 😂😂😂
Bl ana balaa pisto zimechomoza km kang’atwa na nyuki, mi ss nimeshuka km moja mbele sichezi, nyuma sitikisiki 🤣🤣🤣
Nkamu kuna vayolensi una roast nakuzoom 😂😂😂Toka asubuhi nakupiga jicho utadhani nachochea maharage yasiungue😂
Yaani wewe ile namba Moja ya wenye shepu unaichukua wewe
Anayebisha aweke picha yake 🔥🔥
Muke ya tajiriiiiiiii 😂😂😂Tena makali makali tu
Kumekucha 😂😂😂😂Shepu la haja linaonekana bila hata kuforce kuinamisha camera 🔥🔥🔥🔥
Huyu Bantu ni hatari
Nilikua nimekuja kumsalimia Lamomyhadi wewe kubwa la maadui umejitokeza...
😅😅😅kivuruge mimi😂😂🤣 Nilikuwa nazuga huyo wa kuweka pic yako nani.??
Mtindi umechachuka haufai hata kulia na ugali, yani tafrani tupu 😂😂😂😂Haya wewe tunza rekodi yako ya mtindi.😊
Hupendagi amani kabisa weweKumekucha 😂😂😂😂
Nkamu nilitaka kuaga naona unanivuta niendelee kukaa 😹
Nani anaforce na kuinamisha camera kwani??
Au coca?? Hebu mtaje kwanza
Amani itoke wapi watu wanatekwa 😂😂😂Hupendagi amani kabisa wewe
Hahaha sawa kijana, ngoja na mimi leo nipite . . .wataogopa hapa kaka
Ngoja nilale mie kabla kisukari hakijapanda😂😂😂Amani itoke wapi watu wanatekwa 😂😂😂
Mahi Nkamu wangu ana kitu kimemkaba nataka nimsaidie akitoe.!!
Ujue kukaa na kitu moyoni sio vizuri unaweza kupata kiungulia 🤣🤣🤣