Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,259
- 79,858
Kuna dogo langu anasoma chuo naenda kuumpa hii HP ni balaa Ina ram gb 8 hii nitakuwa naangalizia movie na kazi nzitounataka kumpa moja?
Kuna dogo langu anasoma chuo naenda kuumpa hii HP ni balaa Ina ram gb 8 hii nitakuwa naangalizia movie na kazi nzitounataka kumpa moja?
Claro, pero el dinero no lo es todo, solo hay que buscarlo.mucho dinero control elmundo 😎😎
🤣😁😁 Si amigo dinero is everything in elmundo 😎Claro, pero el dinero no lo es todo, solo hay que buscarlo.
goodKuna dogo langu anasoma chuo naenda kuumpa hii HP ni balaa Ina ram gb 8 hii nitakuwa naangalizia movie na kazi nzito
Ngoja niweke picha yake uwone aisee ile ram yake ni balaa 😎good
embuu tuoneNgoja niweke picha yake uwone aisee ile ram yake ni balaa 😎
el mundo es redondo."
hongera sana mkuuu
shukrani sana mkuuhongera sana mkuuu

karibu kigamboni jioni hii tupate supu ya kongoro





Lenovo yoga 


Kwa yaliyowakuta hawawezi kumuelewa mkuuhawwawezi wafikia uko njee
NimechekaNikiswahili , umeniita dude sawaaa😅
Asante nipo idodi uku iringashukrani sana mkuukaribu kigamboni jioni hii tupate supu ya kongoro
najua ila najukumu la kusafisha makaburi ya kwetu hswa la babaKwa yaliyowakuta hawawezi kumuelewa mkuu
Funga hata ya passo Ni filter ndogo tu 🤣, ilimradi vumbi vumbi lisitokelezee Kwa photoCm zingine hazina filter,![]()
Nitafunga hiiSaint Anne
Umeona Moses bliss kafunga ndoa ya serikali .
Mkewe ni natural halafu mrembo balaa.
View attachment 2919171