Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilimshtukia akawa ananidai sana chenji
Hela zake nikaweka pembeni
Sikuchanganya
Angeniliza hivihivi naona


Baadaye nilivyozoea nikawa nikiishika tu nagundua
 
Nimekuwa kivutio cha mali asili mi 😹😹
Hizi natupia siku nikijisikia, subiri siku nyingine nikiwa na vibe
Doooooh aiseeee
Sema hicho kisket ni suala la kukipandisha alafu hicho kisuruali ni kukishusha chini alafu πŸ‘…πŸ‘…πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Kuna jamaa
Uroho wa pesa

Akawa anaenda kubadilisha mtaani ili tzs anachukua Dola apate Cha juu exchange rate ikiwa vzr
Nikamwambia omba mganga wako wa ulinzi awe mkali,usipojee Dola feki

Ulibambikiwa feki huko mtaani utalia na kusaga meno
Note 1 ya Dola mia ni laki 2
Sijui utambembea mhindi mbeleko gani 🀣🀣
j
 
Kuna mtu alilizwa na madereva wa transit kijinga kwa tamaa zake.!!
Nilimwambia hao madereva wana dollar feki usiwaamini akakaza fuvu.!!
Walimlamba million 3 wakampa kanyaboya 😹😹😹
 
Kkoo kila mtu anatafuta wa kumuibia 😹😹
Hao dawa yao kuwauzia kwa shilling wala huumizi kichwa.!!
Kila mtu mjanja
Hapo nikimaloza hekaheka za kuibkana Dola
Nahamia hekaheka za mwendokasi gerezani
Na burungutu la dola
Nilikuwa natia kwenye kifungashio Cha jero
Mbinu za kivita
Juu naweka machungwa


Dar hakupoi hakuboi
 
Kila mtu mjanja
Hapo nikimaloza hekaheka za kuibkana Dola
Nahamia hekaheka za mwendokasi gerezani
Na burungutu la dola
Nilikuwa natia kwenye kifungashio Cha jero
Mbinu za kivita
Juu naweka machungwa


Dar hakupoi hakuboi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nkamu hiyo kiboko unajazia na machungwa khaaa.!!
Unaenda na pesa nyumbani??
Mi nikitoa pesa ni bank, nyumbani situnzi aisee.!!
Ni risk kubwa sana unaweza kuvamiwa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nkamu hiyo kiboko unajazia na machungwa khaaa.!!
Unaenda na pesa nyumbani??
Mi nikitoa pesa ni bank, nyumbani situnzi aisee.!!
Ni risk kubwa sana unaweza kuvamiwa
Nilikuwa nazurula nazo
Mganga wangu mkaliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…