ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 16,787
- 61,256
Hongera mkuu!Mimi ni muuza simu kariakoo na movie zisizo tafsiriwa
Ila muda wote upo humu jf hao wateja huwa unawaita muda gani?
Hongera mkuu!Mimi ni muuza simu kariakoo na movie zisizo tafsiriwa
Nakuwa online sana kwa sababu ofisini Kuna WiFi hakuna kuzima data wateja wapo wengi Sana ila Kuna siku wanakuwa wachache hadi unatamani kulia 😎😭Hongera mkuu!
Ila muda wote upo humu jf hao wateja huwa unawaita muda gani?
Biashara haiwezi kufanana kila siku muhimu unapata faidaNakuwa online sana kwa sababu ofisini Kuna WiFi hakuna kuzima data wateja wapo wengi Sana ila Kuna siku wanakuwa wachache hadi unatamani kulia 😎😭
Kabisa siku ile ya migomo nililia sana Kodi kubwa sana lakiniBiashara haiwezi kufanana kila siku muhimu unapata faida
Pole ..cenzo akeKabisa siku ile ya migomo nililia sana Kodi kubwa sana lakini
Hapa nadownload movie za kuuza kesho 😎😁🤣Pole ..cenzo ake
Kila la kheriHapa nadownload movie za kuuza kesho 😎😁🤣

Babu apia 😹😹😹Mambo ya Vijana hayo 🤗
Sisi Wazee tulishakata tamaa kabisa juu ya jambo hilo, maana kusimama pekee tu Kwa dakika 1 hatuwezi 😜
Hiyo nafasi mpe dada kiboga wa kigamboni aje kukuchungulia ndio vitu vyake hivyo 😹😹😹Njoo PM nikuonyeshe na selfie ya casava ndipo uamini ni picha zangu ama sio... we njoo tu..
Sio kweli Mjukuu;Babu apia 😹😹😹
Mbona kina bibi wanakugombania sasa?!!
Weka zako za pariii 😹😹Yeye mbona zake aleti humu 😂😁
😀😀😀My Wii kumbe watu wanamgombea Babu si watamuua Kwa preshaBabu ndiomana kina bibi wanakugombea kumbe unakula ugali 😍😍😍
Waelekeze na wajukuu zako wa kiume wasishindie viepe na baga. 😹
😹😹😹 Kunywa maji kwa afyaKalivyo kabaya.. thubutuu..
Wewe una sura nyingi km agano la kale 😹😹Adios amigos Kawa mpole 😂😁🤣 😁 njooo uselfike basi amigo
View attachment 3038912
😹😹😹 nilonge nisilonge?Sio kweli Mjukuu;
Bibi Which?
Bibi Where?
Bibi who??
Bibi whom??
Nioneeni huruma Babu yenu 🤗
😹😹😹 Babu yuko fit anawanyoosha😀😀😀My Wii kumbe watu wanamgombea Babu si watamuua Kwa presha
😀😀😀Hataki tabu ni mwendo wa kujisevia mishangazi😹😹😹 Babu yuko fit anawanyoosha
Koh Koh Koh...........hivi ulisema unataka zawadi ya abaya la rangi gani Mjukuu 🤗😹😹😹 nilonge nisilonge?
Mwenzenu babu, mchumba wake ni ……….!!
Babu mibibi unayo bana na unaitafuna kinyatu nyatu huna baya