Selfika na JF: Snap it. Show it

We sema unanielewa tu.. hamna cha jamaa wa insta wala wapi.. mara useme unanitamani, mara picha hazifanani, mara weka picha ya siku ile, halafu cha ajabu unakuja kujigundua we ndiye una wenge...

Hivi kumbe kuchat humu unaniona mie level zako eti?
Ndio unavyojidanganya 😹😹😹
Hebu soma comments zangu kwa makini kuna kitu utagundua.!!
Wewe lete picha zako halisi bana, hizo za kukwapua mimi nakujoke tyuu hapa.!!
 
Lakini hilo tatizo naona sio kubwa sana Mjukuu, nenda kapitie Uzi wa Tunda kimasihara uone vile Wanaume walivyo na performance isiyo na mashaka.

Tatizo limebaki Kwa sisi Wazee tu, najua imetokana na Umri wetu kututupa Mkono πŸ€—
😹😹😹 Ule uzi una chai sijawahi kuona.!!
Kule kuna watu wanaunga mpk bao 9 usiku ndani ya nusu saa.!!
Ule uzi naupitiaga nikihitaji kucheka
 
Lovelovie sis zile nywele za tangu desemba 23 ntasuka tena desemba 24😊

Muwe na Usiku mwema wapendwa πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄
Weee umependeza ccy.
Ni nzuri me nazipenda shida kichwa changu nikisuka nawashwa.
Umependeza sana ccyπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ₯°πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…