Selfika na JF: Snap it. Show it

Nina bahati mbaya sijamuona huyo Mzee mwenzangu πŸ˜œπŸ™Œ

Kumbe mkipata shida kwenye Ndoa zenu, MaBabu tumejaa hapa kuweza kuwashauri πŸ€—
Mpo wengi babu ila wewe babuu mjanja wa town 😹😹
 
Babu naomba bisi πŸ˜‹πŸ˜‹
Bila shaka hizi kaagiza bibi ww una glass ya whiskey pembeni 😹😹
Njoo uchukue Mjukuu πŸ€—

Ungependa waweke sukari ama chumvi?

Kama ulivyosema, utanikuta nimekaa kwenye Kona hivi nakunywa zangu Whiskey 😜
 
Njoo uchukue Mjukuu πŸ€—

Ungependa waweke sukari ama chumvi?

Kama ulivyosema, utanikuta nimekaa kwenye Kona hivi nakunywa zangu Whiskey 😜
😹😹😹 Nataka chocolate babu
Nakuja babu ss hivi ngoja niite boda si unajua bonyokwa kulivyo mbali mpk kufikia huko down town
 
Babu ndiomana kina bibi wanakugombea kumbe unakula ugali 😍😍😍
Waelekeze na wajukuu zako wa kiume wasishindie viepe na baga. 😹
You always don't want peace Mjukuu πŸ€—
 
😹😹😹 Hii kali nipende nini?? Hiyo picha ya huyo jamaa uliyemchukua insta sijui umemuokoteza wapi huko?!!
Au hiyo fake id uliyokuwa nayo??
We sema unanielewa tu.. hamna cha jamaa wa insta wala wapi.. mara useme unanitamani, mara picha hazifanani, mara weka picha ya siku ile, halafu cha ajabu unakuja kujigundua we ndiye una wenge...

Hivi kumbe kuchat humu unaniona mie level zako eti?
 
😹😹😹 Najaribu kukufikishia ujumbe babu ili uwaeke chini uwape sheria za kiumeni
Lakini hilo tatizo naona sio kubwa sana Mjukuu, nenda kapitie Uzi wa Tunda kimasihara uone vile Wanaume walivyo na performance isiyo na mashaka.

Tatizo limebaki Kwa sisi Wazee tu, najua imetokana na Umri wetu kututupa Mkono πŸ€—
 
We sema unanielewa tu.. hamna cha jamaa wa insta wala wapi.. mara useme unanitamani, mara picha hazifanani, mara weka picha ya siku ile, halafu cha ajabu unakuja kujigundua we ndiye una wenge...

Hivi kumbe kuchat humu unaniona mie level zako eti?
Mapambano yanaendelea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
We sema unanielewa tu.. hamna cha jamaa wa insta wala wapi.. mara useme unanitamani, mara picha hazifanani, mara weka picha ya siku ile, halafu cha ajabu unakuja kujigundua we ndiye una wenge...

Hivi kumbe kuchat humu unaniona mie level zako eti?
Ndio unavyojidanganya 😹😹😹
Hebu soma comments zangu kwa makini kuna kitu utagundua.!!
Wewe lete picha zako halisi bana, hizo za kukwapua mimi nakujoke tyuu hapa.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…