Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Jul 2, 2024 #387,601 cocastic said: Nakujaaaa chaap gran bah!! Click to expand... Nikuagizie juice ama soda Kubwa Mjukuu π€
cocastic said: Nakujaaaa chaap gran bah!! Click to expand... Nikuagizie juice ama soda Kubwa Mjukuu π€
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 2, 2024 #387,602 Grahams said: Hahaha...............hayo mambo Mwaka 47 ilikuwa yanafanyika kwa Siri mno. Nyie miaka yenu hadi Mwanaume anamtuma mwenyewe Mkewe awe na Kidumu aka Danga ili kumsaidia Majukumu Madanga ya Mke wangu ~D Voice ft Meja Kunta Click to expand... nimechekaaa sanaaa!!! Hatareee tupuu.
Grahams said: Hahaha...............hayo mambo Mwaka 47 ilikuwa yanafanyika kwa Siri mno. Nyie miaka yenu hadi Mwanaume anamtuma mwenyewe Mkewe awe na Kidumu aka Danga ili kumsaidia Majukumu Madanga ya Mke wangu ~D Voice ft Meja Kunta Click to expand... nimechekaaa sanaaa!!! Hatareee tupuu.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 2, 2024 #387,603 Grahams said: Nikuagizie juice ama soda Kubwa Mjukuu Click to expand... Niagiziee juice na .
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 2, 2024 #387,604 KENZY said: kwenye hili acha niwe muoga hapana hii... Click to expand...
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Jul 2, 2024 #387,605 cocastic said: Niagiziee juice na . Click to expand... Usijali Mjukuu π€
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 2, 2024 #387,606 Lava lava akitulia huwa anatoa kaliii, tatizo hana. Hii "kibango" angeimba mwingne ilikua ni ngoma ya mwaka kabisaa. Kila nikiisikia navurugwaa balaaa,
Lava lava akitulia huwa anatoa kaliii, tatizo hana. Hii "kibango" angeimba mwingne ilikua ni ngoma ya mwaka kabisaa. Kila nikiisikia navurugwaa balaaa,
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 2, 2024 #387,607 Grahams said: Usijali Mjukuu Click to expand...
Fundi manyumba JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 3,799 Reaction score 8,103 Jul 2, 2024 #387,608 Grahams said: Hahaha........mnataka Wazee tuvuke barabara haraka utasema tuna mbio kama za nyie Vijana π Click to expand... Mbona kuvizia watoto wa 2k mpo speed ya light.... Ahahaha acheni mambo yenu nyie
Grahams said: Hahaha........mnataka Wazee tuvuke barabara haraka utasema tuna mbio kama za nyie Vijana π Click to expand... Mbona kuvizia watoto wa 2k mpo speed ya light.... Ahahaha acheni mambo yenu nyie
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Jul 2, 2024 #387,609 cocastic said: nimechekaaa sanaaa!!! Hatareee tupuu. Click to expand... Umefurahi nini Mjukuu? Kwamba Babu ninajua hadi nyimbo za Vijana wa Bongofleva π€
cocastic said: nimechekaaa sanaaa!!! Hatareee tupuu. Click to expand... Umefurahi nini Mjukuu? Kwamba Babu ninajua hadi nyimbo za Vijana wa Bongofleva π€
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 2, 2024 #387,610 Grahams said: Umefurahi nini Mjukuu? Kwamba Babu ninajua hadi nyimbo za Vijana wa Bongofleva Click to expand... mbona sasa kuna mjukuu mkweo hili la mafiga 3 hatakii, au yeye hana taarifa hiyoo? Mkaage nao muwaelezee. Wanatusumbua sisi huku. Woiiiiih
Grahams said: Umefurahi nini Mjukuu? Kwamba Babu ninajua hadi nyimbo za Vijana wa Bongofleva Click to expand... mbona sasa kuna mjukuu mkweo hili la mafiga 3 hatakii, au yeye hana taarifa hiyoo? Mkaage nao muwaelezee. Wanatusumbua sisi huku. Woiiiiih
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Jul 2, 2024 #387,611 Fundi manyumba said: Mbona kuvizia watoto wa 2k mpo speed ya light.... Ahahaha acheni mambo yenu nyie Click to expand... Unajua baridi Lina madhara Kwa Wazee, kwahiyo ili kujilinda na baridi wengi huamua kujiongeza Kwa hao dogodogo π
Fundi manyumba said: Mbona kuvizia watoto wa 2k mpo speed ya light.... Ahahaha acheni mambo yenu nyie Click to expand... Unajua baridi Lina madhara Kwa Wazee, kwahiyo ili kujilinda na baridi wengi huamua kujiongeza Kwa hao dogodogo π
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Jul 2, 2024 #387,612 cocastic said: mbona sasa kuna mjukuu mkweo hili la mafiga 3 hatakii, au yeye hana taarifa hiyoo? Mkaage nao muwaelezee. Wanatusumbua sisi huku. Woiiiiih Click to expand... Hahaha............wenye huo moyo ni sisi Babu zenu tu π Wasikuhizi hadi watoto wake anaenda kuwapima DNA
cocastic said: mbona sasa kuna mjukuu mkweo hili la mafiga 3 hatakii, au yeye hana taarifa hiyoo? Mkaage nao muwaelezee. Wanatusumbua sisi huku. Woiiiiih Click to expand... Hahaha............wenye huo moyo ni sisi Babu zenu tu π Wasikuhizi hadi watoto wake anaenda kuwapima DNA
Missy Gf JF-Expert Member Joined Oct 30, 2022 Posts 5,593 Reaction score 15,752 Jul 2, 2024 #387,613 Grahams said: Hapo sawa, nimeshamwita mtu wa Jikoni Usikawie kuja kisije kupoa π€ Click to expand... I hope hakijapoa
Grahams said: Hapo sawa, nimeshamwita mtu wa Jikoni Usikawie kuja kisije kupoa π€ Click to expand... I hope hakijapoa
Countrywide JF-Expert Member Joined Mar 2, 2015 Posts 21,193 Reaction score 33,580 Jul 2, 2024 #387,614 Naona kumerudiπ
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Jul 2, 2024 #387,615 Missy Gf said: I hope hakijapoa Click to expand... Kinakusubiri wewe tu π
Fundi manyumba JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 3,799 Reaction score 8,103 Jul 2, 2024 #387,616 Grahams said: Unajua baridi Lina madhara Kwa Wazee, kwahiyo ili kujilinda na baridi wengi huamua kujiongeza Kwa hao dogodogo π Click to expand... Alafu mzee wangu sasa naanza kuvua vyeo aiseee. Ulikua na nyota tatu π π π ila sasa nishaondoa moja
Grahams said: Unajua baridi Lina madhara Kwa Wazee, kwahiyo ili kujilinda na baridi wengi huamua kujiongeza Kwa hao dogodogo π Click to expand... Alafu mzee wangu sasa naanza kuvua vyeo aiseee. Ulikua na nyota tatu π π π ila sasa nishaondoa moja
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Jul 2, 2024 #387,617 Fundi manyumba said: Alafu mzee wangu sasa naanza kuvua vyeo aiseee. Ulikua na nyota tatu π π π ila sasa nishaondoa moja Click to expand... Sio Wazee wote wako hivyo, binafsi sio mmoja wapo hata kidogo Kuwa na imani na Wazee π€
Fundi manyumba said: Alafu mzee wangu sasa naanza kuvua vyeo aiseee. Ulikua na nyota tatu π π π ila sasa nishaondoa moja Click to expand... Sio Wazee wote wako hivyo, binafsi sio mmoja wapo hata kidogo Kuwa na imani na Wazee π€
Fundi manyumba JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 3,799 Reaction score 8,103 Jul 2, 2024 #387,618 Grahams said: Sio Wazee wote wako hivyo, binafsi sio mmoja wapo hata kidogo Kuwa na imani na Wazee π€ Click to expand... Kwasasa una nyota mbili tuu.. Unatetea sana hao watu
Grahams said: Sio Wazee wote wako hivyo, binafsi sio mmoja wapo hata kidogo Kuwa na imani na Wazee π€ Click to expand... Kwasasa una nyota mbili tuu.. Unatetea sana hao watu
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Jul 2, 2024 #387,619 Fundi manyumba said: Kwasasa una nyota mbili tuu.. Unatetea sana hao watu Click to expand... Kuteteana ni muhimu Mkuu Mwaka 47 Kuna mwenzetu mmoja alikuwa anatembea na Mke wa jirani yetu, bahati mbaya mume wa yule Dada alirudi ghafla. Katika kujitetea jamaa akakimbia na kuingia Kwenye nyumba yangu, kumbuka kipindi hicho nilikuwa balozi wa nyumba 10 π€ Ili kuokoa jahazi, nililazimika kutoka nje na Panga langu eti nami nikijifanya kumtafuta huyo Kijana anayetafutwa π
Fundi manyumba said: Kwasasa una nyota mbili tuu.. Unatetea sana hao watu Click to expand... Kuteteana ni muhimu Mkuu Mwaka 47 Kuna mwenzetu mmoja alikuwa anatembea na Mke wa jirani yetu, bahati mbaya mume wa yule Dada alirudi ghafla. Katika kujitetea jamaa akakimbia na kuingia Kwenye nyumba yangu, kumbuka kipindi hicho nilikuwa balozi wa nyumba 10 π€ Ili kuokoa jahazi, nililazimika kutoka nje na Panga langu eti nami nikijifanya kumtafuta huyo Kijana anayetafutwa π
Fundi manyumba JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 3,799 Reaction score 8,103 Jul 2, 2024 #387,620 Grahams said: Kuteteana ni muhimu Mkuu Mwaka 47 Kuna mwenzetu mmoja alikuwa anatembea na Mke wa jirani yetu, bahati mbaya mume wa yule Dada alirudi ghafla. Katika kujitetea jamaa akakimbia na kuingia Kwenye nyumba yangu, kumbuka kipindi hicho nilikuwa balozi wa nyumba 10 π€ Ili kuokoa jahazi, nililazimika kutoka nje na Panga langu eti nami nikijifanya kumtafuta huyo Kijana anayetafutwa π Click to expand... Ahahahahahah kuna mda nikisema wewe Grahams ni mzee wa hovyo unasema mimi nakukosea.. Sasa kwa hivi vitendo vyako mkuu daaah nachoka sana.... Ukute mambo ya hovyo umeacha sasa hivi ila hapo zamani ulikua kijana mmoja wa mambo ya ajabu sana aiseee ahaha
Grahams said: Kuteteana ni muhimu Mkuu Mwaka 47 Kuna mwenzetu mmoja alikuwa anatembea na Mke wa jirani yetu, bahati mbaya mume wa yule Dada alirudi ghafla. Katika kujitetea jamaa akakimbia na kuingia Kwenye nyumba yangu, kumbuka kipindi hicho nilikuwa balozi wa nyumba 10 π€ Ili kuokoa jahazi, nililazimika kutoka nje na Panga langu eti nami nikijifanya kumtafuta huyo Kijana anayetafutwa π Click to expand... Ahahahahahah kuna mda nikisema wewe Grahams ni mzee wa hovyo unasema mimi nakukosea.. Sasa kwa hivi vitendo vyako mkuu daaah nachoka sana.... Ukute mambo ya hovyo umeacha sasa hivi ila hapo zamani ulikua kijana mmoja wa mambo ya ajabu sana aiseee ahaha