Fundi manyumba 01
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,113
Ahahahahahah kuna mda nikisema wewe Grahams ni mzee wa hovyo unasema mimi nakukosea..Kuteteana ni muhimu Mkuu
Mwaka 47 Kuna mwenzetu mmoja alikuwa anatembea na Mke wa jirani yetu, bahati mbaya mume wa yule Dada alirudi ghafla.
Katika kujitetea jamaa akakimbia na kuingia Kwenye nyumba yangu, kumbuka kipindi hicho nilikuwa balozi wa nyumba 10 π€
Ili kuokoa jahazi, nililazimika kutoka nje na Panga langu eti nami nikijifanya kumtafuta huyo Kijana anayetafutwa π
Hahaha...........ni miaka mingi imepita lakini πAhahahahahah kuna mda nikisema wewe Grahams ni mzee wa hovyo unasema mimi nakukosea..
Sasa kwa hivi vitendo vyako mkuu daaah nachoka sana....
Ukute mambo ya hovyo umeacha sasa hivi ila hapo zamani ulikua kijana mmoja wa mambo ya ajabu sana aiseee ahaha
Hatareeee tupuu gran bah!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha............wenye huo moyo ni sisi Babu zenu tu [emoji12]
Wasikuhizi hadi watoto wake anaenda kuwapima DNA
Nipo hapa ccyLol huu Uzi una hekaheka miambiliiii kidogoo walaiii kumbe washairudishaaa!????
Sina mpya sis ngoja niangalie kwa Gallery usipepese hata kopeee napita kama nilivooooooooooo
Acha uoga dogo πππMie nikiwaga kwenye panton nahisi kizungu zungu, nakuaga muoga balaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pendeza Ccy umenenepa lakin
Poapoa sis usisahau kunistua.Ccy me ntakubless kesho mapema sana
Ntakutag ccyPoapoa sis usisahau kunistua.
Wacha nipumzishe fuvu sasa Usiku mwema π€π€π€π€π€π΄π΄π€π΄π΄π΄π΄π΄π΄
Ah ah ah ah ah ah π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯ Mahondaw π
Hiyo sawa.Na kuja kutazama mpira je? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upoziba hapo dahh nimetaman