Ni wa kumpuuza. Kushadadia picha fake picha fake inamuongezea nini maishani mwake? Sikujua kuna watu wanaweza kuwa serious kiasi hiki kuteseka na mambo ya mtandaoni.
Hata akili za kujiongeza kakosa, kavamia page za watu anachukua picha ana-edit na alivyo mjinga hajui uandishi wako, na tarehe imemuumbua.!!
Njia ya muongo fupi.
Ni wa kumpuuza. Kushadadia picha fake picha fake inamuongezea nini maishani mwake? Sikujua kuna watu wanaweza kuwa serious kiasi hiki kuteseka na mambo ya mtandaoni.
Ni maajabu kwa kweli, halafu anajiita mwanaume. Tukimbwambia shoga anakasirika, mwanaume timamu hawezi kufanya ujinga km huo. Wenzie wako busy wanacheck EURO yy yuko busy kutengeneza vitu vya uongo.
Wapumbavu hawa, naona wanachezea sharubu. Mods wamekuja wameweka sawa nikapotezea, kumbe wameenda kuunga picha alafu walivyo wajinga wakasahau selfika ilifungwa hiyo tarehe
Haka kachoko kalikua kanasema kanavizia demu humu sijui ili iweje, lakini si aanze na huyu shangazi yake mwenye kichaka