Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,580
Ww dogo kweli uchoko umekuathiri, yaani kelele zote ndio umeenda kutengeneza huu ujinga?Ogopa sana nikutengee muda..
Hii nakumbuka iliwekwa kama sekunde 20 ikapotea, browser ina extension ya screenshot na ku save picha automatically...
Twende kazi...
View attachment 3025026
Mwenzenu anawaletea picha mponde, nyie mnasifia π€£π€£π€£π€£Sema lina nyonyo nzur yani mm napenda manyonyo yawe makubwa yanipige pige usoni πππππ
Tunawaacha mnyooshane mpaka msemeeeπππAnajichosha huyo analeta picha hata sizielewi alikozitoa, yeye kunijua mimi atasubiri sana.!!
Ulimwengu wa fake ids anaforce kufahamiana na watu. ππππ
Ww ubwabwa jifunze kutengeneza comment, alafu unatumia muda mrefu sana masaa yote ndio ulikua unahangaika na Hilo?Mtacheka sana, source za picha ukiziona, mnaweza kububujikwa na machozi...
Watu tofauti tofauti... inashangaza sana..
Wewe kweli soko gumu yani unahangaika na mtu humjui!! Utapewa ban kwa kuleta picha za watu humu usiowajua. Wewe ukitaka kuniona sema uje unione. Hii unajionyesha jinsi gani ulivyo mjinga, hii ni jf sio nyumbani kwakoJamani kariri skin tone hio, kariri kila kitu kuna maangamizi yanakuja...
Usilete ugomvi na mtu humfahamu, am IT by professionl...
naweza fanya tukio humu hadi TCRA waingilie kati...
Kwangu atajichosha anachokitaka hatokipataTunawaacha mnyooshane mpaka msemeeeπππ
πππ Jamani angetokea wakumuweka na shostio Coca full pic jukwaa lingesimama leo. Watu wote macho kodo kumjua LamomyKwangu atajichosha anachokitaka hatokipata
Huyo wala sio mimi ndiomana namshangaa π€£π€£π€£πππ Jamani angetokea wakumuweka na shostio Coca full pic jukwaa lingesimama leo. Watu wote macho kodo kumjua Lamomy
Anawachota, hakuna namna ningeandika hiko alichoandika. Alitakiwa kuiga na uandishi wanguπππ Jamani angetokea wakumuweka na shostio Coca full pic jukwaa lingesimama leo. Watu wote macho kodo kumjua Lamomy
Yani wewe kweli GTJF is all about being fake!!
Sijajua picha anazodai ni fake zina madhara gani kwenye maisha yake ya kila siku π€£ ila JF!!
Sasa huyu anayeteseka na picha kazi anayo...IT jobless
Shida inaanzia kwa wanaomjaza aweke vitu na yeye huko alipo anajiona 'star' of the match! SMH
Watu wanamuenjoy kwa ujinga wake bila yeye kujua
Kaenda kutengeneza comment inasoma November, wakati November selfika ilikua imefungwaYani wewe kweli GT
Kuanzia leo nimekupa salute, una IQ kubwa.!
Wanawake wengi wangejitambua km wewe hii jf ingekuwa π₯π₯π₯
Hana kazi week nzima yupo humu anateseka kunijua. Halafu anaokoteza picha anatengeneza wenzie wanamcheka.
November hakukua na selfika, selfika ilifungwa September 10 mwaka jana, imefunguliwa mwaka huu February 8Wewe and 100 others hiyo comment umetengeneza Kantry hana uandishi huo na hajawahi kuniita love.!! Ukitaka kutengeneza huo upuuzi jitahidi uendane na uandishi wake.!!
Alivyo mjinga kashindwa kuangalia hata zile tone zetu za uandishi, sikumbuki wewe kuniita love, ila leo nimeshangaa na kucheka nilivyoona ile neno.!! Huyu ndiomana namwambia BOGUSKaenda kutengeneza comment inasoma November, wakati November selfika ilikua imefungwa
Yani wewe kweli GT
Kuanzia leo nimekupa salute, una IQ kubwa.!
Wanawake wengi wangejitambua km wewe hii jf ingekuwa π₯π₯π₯
Hana kazi week nzima yupo humu anateseka kunijua. Halafu anaokoteza picha anatengeneza wenzie wanamcheka.
Huyu uchoko umeathiri hadi ubongo, na hiyo katengeneza siku nzimaAlivyo mjinga kashindwa kuangalia hata zile tone zetu za uandishi, sikumbuki wewe kuniita love, ila leo nimeshangaa na kucheka nilivyoona ile neno.!! Huyu ndiomana namwambia BOGUS