Amen πYaa kiukweli nashukuru naendelea ku recover kiasi Fulani sio mbaya my dearπ
Barikiwa
Nichek wasap bc love ili nikuimbie love, c unajua vile ulivyo pisi kali hvy utanipa hamasa ya kuimba vzr LoveNiimbie nyimbo nzuri kwanza ππ
Mi napenda kubembelezwa
Kwahiyo uko pm unabebishwa uduguu.!! Hongera zako, mwambie shem namsalimia.!!
Ila naona na wewe kamoyo kamemzimia bana.!!
Akikaza unawamiliki wote wawili, dalili nishaziona
Kumbe na nonino ulimpa?? Ehh we uduguu.!!Nimemic sex akee, hata yeye namuambiagaa!!
Sema mkaka kwenye malovee yuko, mmeru wa watu.
Mchugastan,
Nyie huyu ninge last nae, tatzo hakuniaminii wallah!!
ππππ Hii kali, hivi kwann hamnipi likizo.!Nichek wasap bc love ili nikuimbie love, c unajua vile ulivyo pisi kali hvy utanipa hamasa ya kuimba vzr Love
Love mm c tayar umeshanizoea sipo kama hao wngnππππ Hii kali, hivi kwann hamnipi likizo.!
Yani jf mpk nife ndio mtatulia kuniandama, km mnapangana vile, akitoka huyu amchokoze huyu.!! Khaaaa.!! ππ
Jamani ila shem anakupenda sana.!! Ana wivu mwenzio anakupenda bana.tsup uduguuu, Yaan ya huku yote yeye anakuja kunichatisha tsup. Asione namzungumzia ba tamuu anaumiaa hatariii.
sema namkubalii, afu kwenye angle zotee, nna ukumbusho wakee handsome boe!!
Dear Ex, ba tamuu mkalii, naogopaa atatustukiaa wee huoni ataniumizaa mie?
ππππ Mbaga ebu acha hizo mambo, tuongee vitu vya kueleweka sasa.!! Hebu selfika nikuone hb wa kipareLove mm c tayar umeshanizoea sipo kama hao wngn
Selfika yangu chagua nkutumie PM au wasapππππ Mbaga ebu acha hizo mambo, tuongee vitu vya kueleweka sasa.!! Hebu selfika nikuone hb wa kipare
Sawa mkuurecovery ipo 95%, mimi ndio 100 others, na battle langu haliishi...
Kaeni mkao wa kula...
Hapa hapa selfika πSelfika yangu chagua nkutumie PM au wasap
Usimjibu unampa kikiSawa mkuu
Kumbe na nonino ulimpa?? Ehh we uduguu.!!
Huyo ex wako bana, ni suala la muda tyuu mnaenda kupasha kiporo
Umeona ulivyo huna msimamo?? Si nilikwambia siku ile??
Nyie mnapendana sema midomo ya watu imewavuruga.! Acheni kusikiliza watu.
Hapa hapana aisee, pics zangu n mali yako love na sio mali ya hawa vigagula wa selfikaHapa hapa selfika π
Sawa loveUsimjibu unampa kiki
Jamani ila shem anakupenda sana.!! Ana wivu mwenzio anakupenda bana.
Na hiyo kutuma picha ya shem mwingine ni kumtafutia kisukari kipande
Na hapo kakukumbushia basi ushapagawa!! Sijui km utalala nyumbani leo
πππ uduguu usinambie uliwapanga humu?? Ila umepata mashem wapole, halafu inaonekana wastaarabu km boss wa kampuni.wee sio boss uduguuu, ni kijana tyuuh.
Ila mie humu nimeyatidunganya sanaaa, tatizo mkaka yuko cool mnoo.
Wee handsome njoo huku toa likes bas,
Vinini??? π€£π€£π€£π€£Hapa hapana aisee, pics zangu n mali yako love na sio mali ya hawa vigagula wa selfika
Dalili zishaonyesha leo mtakuwa pamoja πππatalala kwakee.