Selfika na JF: Snap it. Show it

DJ waleteeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Selfikaa ina heka heka hii.
Woiiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Coca ndio anajua alikuwa anamrusha roho na vi msg. Hebu soma comments za coca mbona kaelezea bana nawe
Kwani kuna nn humu ndaniiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Humuoni toka jana anakulia mingo ila ww humsomi, mana kang’ang’ania kukuaminisha vitu vya uongo. Hapo anataka kujiweka em mkubalie atulie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
sisi tunapenda lakini kuna siku watu watajitundika kutokana na kudhalilishana. sasa fikiria umekaa umetulia mara paap mtu kaselfika na papa yako uliyomtumia kwa mahaba tele.
Kitawalambaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serious kabisa Mwanaume au Mwanamke muokotane mitandaoni unategemea mheshimiane labla sio mitandao hii ya walio kuwa na stress mwanzo mwisho[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah!!! Kwambaaaa?
 
Ya moyoni mtu hawezi kusema labla mhusika awe malaya asiye jali lolote we unafanya masihara kipapa live kiwe Jf [emoji16][emoji16]
Mi na hasira zangu hizi najiuwa kwa kweli
Mbona kilitumwa humu na vinyoya nyoyaa hukuonaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Icho kipapa looh
Selfika imenifundisha hata nikiwa na shemejiyenu nizime taa aipapase tu kwakweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uoga weyeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jiachie kwa ankoliiii. Woiiiiiih
 
Mbona kilitumwa humu na vinyoya nyoyaa hukuonaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguu ebu tulia kelele zako nimezisikia toka Zanzibar ulikotelekezwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nakuja kukufata
 
Uduguu ebu tulia kelele zako nimezisikia toka Zanzibar ulikotelekezwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuja kukufata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitelekezwa zenjiii wapiiii? Ntumie ticket ya ndegee bas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…